Emmani
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 524
- 137
chadema mwendo mdundo,najua hawa magamba wataongea mengi kuhusu hili but fund rising ni kitu cha kawida kwa nchi yoyote
Yawezekana wakasema mengi kwa sababu wamewahiwa!
chadema mwendo mdundo,najua hawa magamba wataongea mengi kuhusu hili but fund rising ni kitu cha kawida kwa nchi yoyote
unaweza kuangalia startv pia usisahau kutupia kimchango chakoNatumaini mtazidi kutupa updates kwa tulio mbali na eneo la tukio.
Du wanachi maskini wa tanzania wanachanga kidogo walichonacho then zitumike kwa ajili ya chopa lol
Haya naitakia mafanikio mema CDM kwa hatua walio fikia.
afadhali itumike kwenye chopa inayozunguka kuelimisha kuliko wanavyo fanya ccm kujaza matumbo utafikili wajawazitoDu wanachi maskini wa tanzania wanachanga kidogo walichonacho then zitumike kwa ajili ya chopa lol
afadhali itumike kwenye chopa inayozunguka kuelimisha kuliko wanavyo fanya ccm kujaza matumbo utafikili wajawazito
ukombozi ni kwa kutembeza bakuli, tena naomba hili bakuli litembee nchi nzima kama mwenge wa uhuru, nchi hujengwa na wananchi na siyo kikundi kidogo cha watu
bravo CDM
Wakuu salamu, kwa wale ambao hawakuweza kufika ukumbini. Ndo mchakato unaanza kama mlivyosikia kwenye vyombo vya habari. Fuatilia Star TV.
Hiari yashinda utumwa Makupa. Tuko radhi kuchangia bakuri ili wawe wawewanalipana posho almradi tumehiari.Du wanachi maskini wa tanzania wanachanga kidogo walichonacho then zitumike kwa ajili ya chopa lol
Mkuu,hapo tuko pamoja.Hebu wahi kwenye fund raising utupatie updates,minute to minute