Mbowe kachangia sh ngapi?
Kachangia bilioni 1
Mbowe kachangia sh ngapi?
Unaanza propaganda eeeh!!!?...unalo hilo'pole sana!Kwa nini Harambee hii inafanyikia Kaskazini tena Usiku?????
Atakuwa wa CDM tu huyo lazima...
Wao ndio wenye tabia ya kuomba omba!
Nasikia kuna mikakati mibaya sana kama ile ya Tunisia, Libya na misri ni miongozi mwa agenga kwenye Harambee hiyo?haya ni mambo mazuri kwa kweli
Unalo hilo' mutajiju na magamba yenuccm ni waanzilishi wa harambee ktk duru la kisiasa chadema wameiga
wamekaukiwa wanajaribu kutembeza bakuli, wanataka kushindana na CCM kwa pesa wataweza wapi!! CCM MASHINE KUBWA INASAGA NA KUKOBOA
Kama anaweza kuchangia bilioni moja wanapitisha bakuli la nini wakati kwenye kampeni zao gharama huwa hazizidi mi.6Kachangia bilioni 1
Vipi wewe ime KUKOBOA?wamekaukiwa wanajaribu kutembeza bakuli, wanataka kushindana na CCM kwa pesa wataweza wapi!! CCM MASHINE KUBWA INASAGA NA KUKOBOA
Unalo hilo' mutajiju na magamba yenu
Ukitafuta net worth ya Chadema na wanachama wake wote hata ukiwacompaund to infinity hawafikii hiyo value!Kachangia bilioni 1
Kwa nini Harambee hii inafanyikia Kaskazini tena Usiku?????
Kama anaweza kuchangia bilioni moja wanapitisha bakuli la nini wakati kwenye kampeni zao gharama huwa hazizidi mi.6