Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,085
Lazima mpinge ruzuku kwa nguvu zote cuz mnafahamu fika 2015 hamuambulii hata kiti kimoja cha ubunge!
hili swala la kupinga ruzuku kwa vitendo limekua mwiba wa sumu kwenye mboni za wana-CCM.
Lazima mpinge ruzuku kwa nguvu zote cuz mnafahamu fika 2015 hamuambulii hata kiti kimoja cha ubunge!
hili swala la kupinga ruzuku kwa vitendo limekua mwiba wa sumu kwenye mboni za wana-CCM.
Jitahidi na wewe....may b unaweza kunifikia!hongera una likes nyingi lakini sio za kuongea points, ni za pumba, ol the best
Chamuhimu ni kuwa on top tu! CCM juuuu...
Mkitaka niwachangie hela ya kununulia leso za kufutia machozi baada ya kushindwa Arumeru nitafanya hivyo!
Chamuhimu ni kuwa on top tu! CCM juuuu...
Mkitaka niwachangie hela ya kununulia leso za kufutia machozi baada ya kushindwa Arumeru nitafanya hivyo!
Kumbe Nasari ni Mwali??????Mwali Nasari anaongea
M4c ......mzee ndesa bwana..
Tutachangia sana ila tunaomba hesabu kamili ya kiasi kilichopatikana isiwe kama zile za bakuli la kampeni ambazo hatujui zinaishia wapi jamniMovement 4 change (m4c) its start from arusha na itaendelea tanzania nzima.
Chadema imezindua mpango wa kueneza mabadiliko tanzania
unaoitwa movement for change (m4c) tanzania,utakaoletwa
mabadiliko ya kweli tanzania ili kufanikisha hayo
mtanzaniamwenzangu tuwaunge mkono kwa kuchangia
chochote
ulichonacho,hii itapelekea chama kuwa mikononi mwa
wananchi wenyewe lengo la mpango huu ni :
-kueneza chama sehemu mbalimbali za tanzania vijijini na
mijijini
-kutoa elimu ya uraia kwa watanzania.
-pamoja na mengine mengine mengi
Mwigulu kachanwa live
Kumbe Nasari ni Mwali??????
Jitahidi na wewe....may b unaweza kunifikia!