hao vibarua wakamshtaki. Kwani hawajui mahakama ya kazi ilipo?watanzania wanafiki sana,mzee anachangia pesa zote hizo wakati vibarua wake wa kampuni yake ya utalii wanateseka pale katika hoteli yake ya keys hotel kusubiri ujira ambao kwanza wanapunjwa sana,wanacheleweshewa sana,wafanyakazi wa redio yake wanalia njaa! Mi nafikiri badala ya kujionyesha kwenye itv, angewasaidia kwanza vibarua wake otherwise huo unakuwa ni unafiki tuu ambao hauna maana
Dialo ccm washamwaga naye kaamua kulipa kisasi na ndicho kinauchotokea. 2010 alishindwa kuiruhusu coz naye alikuwa mgombea ila sasa ni mwanachama huru kabisa. Viva Dialo kwa maamuzi magumu
Mkuu, hizi tuhuma ulizozitoa kwa nini usizipeleke kweye vyombo husika?