Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Khaaaa!Mwisho wa siku maelezo yatatakiwa tu...without
Big shem,malengo ni without lkn lzm tuangalie stail ya kufanikisha hiyo without jaman lol!
Khaaaa!Mwisho wa siku maelezo yatatakiwa tu...without
whatttttttt? in love with??????Ngoja nikalale .usk mwema!
Hahahahaha!Wee njoo without, usijali ukija na with afu zikapungua ntafanya ukaguzi without. Mwisho wa siku with inakuwa without kama alivyosema hommie hapo juu....damn it!
asante, hali yangu Alhamdulillah, vipi weye? uchovu wala siusikii shangaziyo yupo tele akinpepea!
loh..... babu uko na unfinished business ujue,Wee njoo without, usijali ukija na with afu zikapungua ntafanya ukaguzi without. Mwisho wa siku with inakuwa without kama alivyosema hommie hapo juu....damn it!
Party imeisha.... Hapa tunavunja kamati tu... Juzi ulifika salama Maranya?
Tumeona tusiende mbali... hapa hapa Lounge ya Chit Chat....lol
hahaha hii familia naipenda aisee, tunavunja kamati kwa namna yetu lol.
viva wanafamilia.
Party imeisha.... Hapa tunavunja kamati tu... Juzi ulifika salama Maranya?
hahaha najua big sisy yupo vizurii aisee.
me niko buherii wa afya yan!!!!!!!!
lol..... afu big sisy unavyomsifia sifia iv mbele za wa2 unawapa hamasa ujue, au ndio unajiamin 100%
hahaha hii familia naipenda aisee, tunavunja kamati kwa namna yetu lol.
viva wanafamilia.
Mbona Golden Mpoleeee natengwa da asha si ulisema tayari umenikiribisha kwenye familia yenu? au sifai tena na wewe usha ni jaji?
hahaha shemeji anaonekana anajiamini, dats y anamwaga masifa hadharani lol.hahahhaa..... Anajua akinisifia kichwa hichoooo! apunguze kidogo unaona? lol
hakunaga kama familia yetu.... hakunaga kabisa! lol
Nilifika salama, sema tu niliondoka kimya kimya...., kamati ya vinywaji ilipwaya sana, sikupata traditional drinks!
Ni one of the best families I am telling you.... Loving and caring kwa saana tu humu ndani.
hahaha najua big sisy yupo vizurii aisee.
me niko buherii wa afya yan!!!!!!!!
lol..... afu big sisy unavyomsifia sifia iv mbele za wa2 unawapa hamasa ujue, au ndio unajiamin 100%