<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

nilimpa ofa Asprini toka ile juzi usiku aje anywe japo viroba pale Mzalendo Pub, nilishamalizana nae


Kwahio zawadi ilikua imeka kianaume zaidi eeeh? na nyie kwa kujipendelea....lol... sisi hakuna cha kuambulia?
 
oooh this is awesome big sisy, hata mm nimependa hii level yake ya kujiamini aisee.
nami naona kbss upo pazuri dada angu, u made the right choice!!!!!!! hakunaga chaguo zurii kama ilii.
hata sie wana familia hata hatujutii kuwa na shemeji kama huyu aisee, he iz always there for us huh.



Umeona eeeh?? Yaani mimi hapo ndio unanimaliza kabisa nashindwa hata la kuongea.... kinachobaki ni kuongeza malavi davie....lol
 
mh mbona kama signature yako inasema...
U Love ME I Love U - U hate ME I hate U.Simple.



Humu jf kuna watu wana vihere here, then wanategemea kua niwa babaikie. cwez hayo. ukinipenda nitaukupenda ukinichukia nitakuchukia.
 
haina shida. yy akinilazimsha tukae wote?
Nawe utakubali kulazimika? Mwite Canta mkae wote kama hutaki Bibi akufinye huto tupaja twako.

Mngeninunulia hata Fanta (alafu unajisemelea ulimpa viroba? MJ1 akikusikia!) lol

Auntie nishamsikia Mayanza kumbe yeye ndo aliidailute damu ya Babu, tumehangaika sana kutafuta mshipa wenye damu safi!
 
Sweetie lunch tayari.... Leo ni ugali, dagaa fresh ilotiwa nazi na viungo vingine voote vya jikoni na veggies za mchicha ulochanganywa na speenach ya karanga..... Sijasahau your favourite, mtindi... Anything more Love?

wow...awesome....if anything more, its you love:tongue:
 
Nawe utakubali kulazimika? Mwite Canta mkae wote kama hutaki Bibi akufinye huto tupaja twako.
Auntie nishamsikia Mayanza kumbe yeye ndo aliidailute damu ya Babu, tumehangaika sana kutafuta mshipa wenye damu safi!


Mimi nashauri alipe fine niece... Mkomalie! lol
 
Aksaante Mwita naona wameamua kui-carry over hii birthday party.
NYIE MKUMBUKE ANATAKIWA KUENDELEA NA DRIP HUYO BABU MZALIWA.


Thanks MJ1, babu yako anavyokupenda sijui umemlambisha nini!?

Mi nadhani it's about time ukaacha kushikilia dripu, babu amepona, anachofanya sasa hivi ni kudeka tu, hana lolote:lol:
 
Asikusikie mwenye kiti wa kamati.... Kabila lao aliruhusu sherehe ipite bila vinywaji vya asilia... yaani hii itakua matusi kabisa! lol... wewe tu ulizubaa hukuviona! lol

ADI,
Kama hiyo kitu ya tradition ilikuwepo, inawezekana mwenyekiti wa kamati na wajumbe wake walikuwa "level seat" kabla ya wakati hadi wakatusahau wageni. Si unajua tena wengine ilikuwa mara yetu ya kwanza, isingependeza kujisevia vinywaji wenyewe!
 
Back
Top Bottom