<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Shem naomba ufafanuzi hapo kwa red.... kwamba bifoo marazi mi nlikuwaga mnoko eh?



mmh! shem wewe mkali kweli wewe.... maybe you do not see it but it is there.... saizi naona nitapata ka breathing space hata ukiwepo. lol
 
Mdogo wangu haya pia ni mafunzo nakupa.... Sio etu upate mume sababu tu Husny, Mwali, Smiles, Obsesd ni wadogo na binam zako baasi wawaachia huru mno na mumeo... Hata kama wawaamini vipi; unajenga hata vile ambavo havipo... nisipo kuwepo utanisaidia kwa shemejio... ila huo msaada una mpaka. sio sababu sikuamini....lol... it is nature I am afraid of.
Asante kwa ilmu hii,
Umesomeka vema kbs,
Ila nakutoa hofu kwa shem nitazingatia mipaka,
Na sitazidisha mapishi lol!
 
ODM.....Come This Way Uonane na Mwenyekiti...ana ujumbe wako maalum.

baada ya kusema hayo, naomba nitambue uwepo wa my Sweetie AshaDii, ambaye siku nzima ya jana alipumzika tokana na uchovu, wapwa zangu Canta, Obsd, Hus, Mwali, na marafikizi zangu wa karibu wote.

habari zenu?
 
Asante kwa ilmu hii,
Umesomeka vema kbs,
Ila nakutoa hofu kwa shem nitazingatia mipaka,
Na sitazidisha mapishi lol!



Hapo sawa kabisa mdogo wangu... Roho yangu nyeupeeee.....lol.

Kuna raha nyingine kweli kama una mdogo reliable na mwaminifu hivi?
 
ODM.....Come This Way Uonane na Mwenyekiti...ana ujumbe wako maalum.

baada ya kusema hayo, naomba nitambue uwepo wa my Sweetie AshaDii, ambaye siku nzima ya jana alipumzika tokana na uchovu, wapwa zangu Canta, Obsd, Hus, Mwali, na marafikizi zangu wa karibu wote.

habari zenu?



Sweetie you are going to kill me soon one of these days you know?
 
ODM.....Come This Way Uonane na Mwenyekiti...ana ujumbe wako maalum.

baada ya kusema hayo, naomba nitambue uwepo wa my Sweetie AshaDii, ambaye siku nzima ya jana alipumzika tokana na uchovu, wapwa zangu Canta, Obsd, Hus, Mwali, na marafikizi zangu wa karibu wote.

habari zenu?
uhali gani shemeji mzima wewe???
pole na uchovu wa hii shughuli!!!!
 
ODM.....Come This Way Uonane na Mwenyekiti...ana ujumbe wako maalum.

baada ya kusema hayo, naomba nitambue uwepo wa my Sweetie AshaDii, ambaye siku nzima ya jana alipumzika tokana na uchovu, wapwa zangu Canta, Obsd, Hus, Mwali, na marafikizi zangu wa karibu wote.

habari zenu?
Habari zetu ni poa kbs, my Big shem
Bora umetokea maana big sisy alikuwa akiniulizia habari zako,
Nimemwambia ulikuwa buzy na majukum ya kiofis zaidi,
Naomba pitiliza chumbani ukautulize moyo wake tafadhali lol!
 
Hapo sawa kabisa mdogo wangu... Roho yangu nyeupeeee.....lol.

Kuna raha nyingine kweli kama una mdogo reliable na mwaminifu hivi?
Asante kwa masifa mengi ulonimwagia lol,
Hope nimetimiza wajibu wa kumuita big shem,
Na sasa yupo ndani ya nyumba.
 
Asante kwa masifa mengi ulonimwagia lol,
Hope nimetimiza wajibu wa kumuita big shem,
Na sasa yupo ndani ya nyumba.


Kwangu ipo simple mdogo wangu... We enjoy each others company hivo ndani lazima tu arudi...lol.. Na wajibu lazima nitimeze kama ilivo ada.
 
ODM.....Come This Way Uonane na Mwenyekiti...ana ujumbe wako maalum.

baada ya kusema hayo, naomba nitambue uwepo wa my Sweetie AshaDii, ambaye siku nzima ya jana alipumzika tokana na uchovu, wapwa zangu Canta, Obsd, Hus, Mwali, na marafikizi zangu wa karibu wote.

habari zenu?
Hommie....nikishakuja that way na the needful itakuwa kwenye this way?

Baada ya kusema hayo naomba nikushukuru kwa kuniachia shemeji yangu. Amenichangamsha usiku kucha..... Aisee unafaidi sana hommie, hana pacha wake tuangalie uwezekano?
 
Hommie....nikishakuja that way na the needful itakuwa kwenye this way?

Baada ya kusema hayo naomba nikushukuru kwa kuniachia shemeji yangu. Amenichangamsha usiku kucha..... Aisee unafaidi sana hommie, hana pacha wake tuangalie uwezekano?

haaaa,,HAKUNAGA...I mean mfanowe HAKUNAGA kabisa...alizaliwa peke yake tu....polee hommie....umekinai wajukuu?
 
Hilo liko ndani ya uwezo wangu....na kukuruhusu ni atalazimika..... Hebu come this way.....:juggle:
Orait Babu on my way,
Ila naomba maelekezo km ulivompa mwali,
Nakuja WIDHAUTI au nakjae,maana mwenzangu jana ulisema aje WIDHAUTI?
Nijibu tafadhali babu nna mzuka!!!
 
Hommie....nikishakuja that way na the needful itakuwa kwenye this way?

Baada ya kusema hayo naomba nikushukuru kwa kuniachia shemeji yangu. Amenichangamsha usiku kucha..... Aisee unafaidi sana hommie, hana pacha wake tuangalie uwezekano?



Shem hapo ndio umeharibu kabisaaaaa.... Mimi nilimwambia hujiwezi nilikua nakupepea tu na wala hukutuambua uwepo wangu....lol
 
Kwangu ipo simple mdogo wangu... We enjoy each others company hivo ndani lazima tu arudi...lol.. Na wajibu lazima nitimeze kama ilivo ada.
That is my Big Sisy,
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako maana.....!
Kumbe kile kijitambi cha shem wangu kinasababishwa na mengi lol!
 
Back
Top Bottom