Afande Tanzania
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 460
- 1,169
Ujinga wa Jongwe ule wa mwisho kabisa ndo ujanja wa Kwanza kwa mataga.Miaka ya zamani kidogo wanamuziki wa Hip Hop walionekana wahuni ambao zaidi ya kuimba na kuvuta bangi , hawakuonekana kama wanaweza kuongoza hata familia .
Lakini wewe Sugu , Jongwe ambaye pia unaitwa RAIS WA MBEYA , ulifutilia mbali mawazo hayo ya kizamani na kuonyesha mfano uliotukuka kwa kuongoza watu wasomi , Matajiri na wasio na njaa wa Mbeya ( ikumbukwe kwamba Mbeya hakuna njaa kabisa ), Umekuwa Role Model wa Vijana wengi wa Tanzania , hivi ninavyoongea umeifutilia mbali ccm Mkoa wote wa Mbeya , limebaki Jeshi la polisi na Tume ya uchaguzi tu .
Kwa niaba ya Wanasiasa wa kizazi kipya pamoja na Matajiri wenzangu wa Mbeya Mjini , Tunduma , Tukuyu na Kyela TUNAKUTAKIA A VERY HAPPY BIRTHDAY INDEED .
View attachment 1770393
Though am late ila Mwenyezi MUNGU amjaalie huyu mwamba umri mrefu