Happy Birthday Doctor @Asprin

Happy Birthday Doctor @Asprin

A very happy birthday babuu Asprin

images
 
Last edited by a moderator:
Wakuu wote kwa mpigo, naona PC imeingiliwa na mkorogo. ngoja nikazane na haka kamchina.

Nawashukuruni kwa kunitakia heri ya kulisogelea kaburi. Walah kifo kileee. damn!

Mimi bana mimi namshukuru sana Mungu, Mama, baba, mke, watoto,ndugu, jamaa, majirani na marafiki zangu kwa kuishi nami vizuri mpaka nimefikisha miaka mia kasorobo. Yani chapchap sana.

Nazishukuru sana condoms.... er nimesemaje?

Ngoja kwanza nikanyonye.

Angalizo: Ukaguzi uko pale pale.
 
ladyfurahia,

Nashukuru kwa kunikutanisha na member ambao tulikuwa tumepoteza kwenye "keyboard"...! Hasa hasa Nyamayao...!
Asprin ... Besidei pati inafanyikia wapi ili Nije na Napoleon GOLD? Teamo umepotelewa wapi?

Arif mtoto hachezi mbali na home. Fesibuku Pub kaunta ya Juu. We kamata Eva, mi ntakuwa na Josephine...
 
Last edited by a moderator:
Muzee ya LMM Daktari wa falsafa ya JF Asprin congrats sana kwa kuendelea kuukimbiza uzee kwa spidi ya kutisha.

Natoa order ukule mayi kadri ya uwezo wako bill kwangu lakini usisahau kurudi kwa Mama Matesha.
 
Last edited by a moderator:
Mwendo wa leo ni nyagi kwa gines mpaka kieleweke!

Shukrani za pekee kwa dingi na maza waliojipinda hadi kikazaliwa kiumbe hiki.

Happy Birthday Asprin... Heshima kwa kndomu.

LONG LIVE MY FRIEND.
 
Last edited by a moderator:
asante kwa kushukuru besitito ila mwenzio ndo kwanza kazaliwa wewe unamuonesha pombe
unataka nini jamani hujui mtoto mchanga anakunywa nini si maziwa ya mama?
hebu nenda kaitupe hiyo Napoelon GOld chooni haraka kabla ya 😛anda:
ladyfurahia,

Nashukuru kwa kunikutanisha na member ambao tulikuwa tumepoteza kwenye "keyboard"...! Hasa hasa Nyamayao...!
Asprin ... Besidei pati inafanyikia wapi ili Nije na Napoleon GOLD? Teamo umepotelewa wapi?

Gold_Napoleon.jpg
 
Nipo mkuu majukumu mengi mpaka tunachungulia siku moja moja hahahaha hebu nipe hiyo ID unayowazia....[/QUOTE]

@ Kimey, he he he wewe!
 
Daddy jua kuwa ushapata mjukuu hapa tena huyu ni wa mzee wa upako
si unajua yeye ni dokta basi alinifanyia utra sound ya aina yake kisha akani:mimba:
sasa siwezi kukuabisha wewe na mkweo yule yuleeee M naye anajua hilo
Hata sielewi elewi ndio kusema dadako ana nanihiii...eeenh!!!
 
Back
Top Bottom