muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Hongera zao,mungu awalinde waishi miaka 1000.
Sijui kama nitakuja.Tayari ndoa yetu imejibu shemeji.Na yeye itabidi abaki home kunipa kampani.Aisee sijui nimepitwa wapi, hebu mtambulishe siku ya party huyu stevoh...
hyo title ya "Dr" ni ile ya kusoma/kutibu/kama ya Jk. Heri ya kuuona mwaka Asprin uishi kwa furaha daima
Happy Birthday Dakitari
Babu na mpwa Asprin bin ODM hivi ulimpaka nini huyu bi mkubwa mbona akuita majina ya chumbani hivi?
Bai ze wei hii makitu irushie Eskepu Wani halafu hakikisha mamaaa Kongosho, muke ya ukubwani kwako BADILI TABIA na muke ya ujani cacico wanatia timu...