Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Oh my Dog...! sijui kama hajaikagua hiyo keki... BTW HBD ODM.
Last edited by a moderator:
Lahaulaaaa....:angry:
Lahaulaaaa....:angry:
Oh my Dog...! sijui kama hajaikagua hiyo keki... BTW HBD ODM.
Kumbe mko wengi na huu mwaka wamavuno umekaribia najua mtakuwa na akiba mnisaidie maana na mimi huu mwaka ni karatasi kwenda mbele maana ukitaka kutembelea limu safari itakuwa ngumu kidogo au unasemaje bazazi Asprin??Hahaha...karatasi zimetulindia ndugu yetu...
Naruhusiwa kuitunduka humu?hee jamani ndo keki ya aina gani hiyo ? mbe
Naruhusiwa kuitunduka humu?
Kumbe mko wengi na huu mwaka wamavuno umekaribia najua mtakuwa na akiba mnisaidie maana na mimi huu mwaka ni karatasi kwenda mbele maana ukitaka kutembelea limu safari itakuwa ngumu kidogo au unasemaje bazazi Asprin??
Usikonde kuja kwa pm utapata ufunuo wakufaham mambomengi!Na keki nimekuwekea karibu!kumbe unayemwamini siye asiyeaminika kumbe Vin Diesel naye anatumiaga karatasi ni karatasi za aina gani hizo nifafanulie sizielewi best?
Mbona ipo mingi tu sijaona footprints zako huko ndiyo maana!
usisahau kuniombea alafu sawaee...
Mkuu Kimey, salama lakini!?? Sijui ulikuwa umefichwa wapi wewe!!!