Happy Birthday Doctor @Asprin

Happy Birthday Doctor @Asprin

OMG cant belive ninachosoma......basi usiku mwema, naona macho yanakosa ushirikiano kabisaa

Haya kalale ukue mtoto. Mi ndo nshatupa nepi kule kudadadeki. Thanx for your time.
 
Mungu yu mwema sana kwangu....

Nawashukuru sana kwa wishes zenu......

Nimefarijika kujua nina marafiki wengi namna hii..... Namshukuru kila mmoja kwa namna ya pekee.

Mungu aendelee kuwalinda na kuwabariki.

Tuko Pamoja Kama Kawaida.

Ahsanteni sana.

Ni mimi mtumishi wenu, ODM.
 
How did l miss this big bro. Happy belated birthday doc, na thanks mama kwa kukuleta salama duniani.
Mungu akupe miaka mingi zaidi ya kumtumkia kupitia taaluma, karama na ucheshi wako unaowapunguzia waja wake simanzis.
 
How did l miss this big bro. Happy belated birthday doc, na thanks mama kwa kukuleta salama duniani.
Mungu akupe miaka mingi zaidi ya kumtumkia kupitia taaluma, karama na ucheshi wako unaowapunguzia waja wake simanzis.
Yaani G, nlikuwa nakusubiria wewe tu siku yangu iwe nzuri. Ahsante sana mpendwa.

Mungu aendelee kukubariki.

Ahsante

ODM.
 
huyu mwanaume sijui katupa limbwata,

maana kadri siku zinavyoenda mapenzi yanazidi.........



Happy birthday Asprin

Ngoja nikaangalie kwenye nyota za majambozi kule uko kundi gani? Na je kundi hilo tunaendanaje? Maana hii ndoa yetu ya miaka alfu bila mahari siielewi, na wake wenza lukuki.
 
Baba V nimekumisije ni Mama v ndio anakufungia hivi ama

halafu wewe Maternity ward ulienda kutafuta nini huki

Mambo yamekuwa mengi wangu, afu huku kwetu kuna watu wanajiita "watoto wa mbwa mwitu' wananifanya saa moja niwe home yaani ni balaa. Maternity nilienda kumpelekea file Asprin.
 
Last edited by a moderator:
Mambo yamekuwa mengi wangu, afu huku kwetu kuna watu wanajiita "watoto wa mbwa mwitu' wananifanya saa moja niwe home yaani ni balaa. Maternity nilienda kumpelekea file Asprin.

hahaha pole sana mkuu hivi huyu kamanda mpya hawezi kudeal nao tu? Ina maana nikipata kidate cha huko nisije?
 
hahaha pole sana mkuu hivi huyu kamanda mpya hawezi kudeal nao tu? Ina maana nikipata kidate cha huko nisije?

Naskia madogo wakifanya yao wanapeleka mgao kwa makamanda na ndo maana wameshindwa kuwadhibiti ilhali mapolisi wana mibunduki na vibaka wanatutandika na fimbo na nondo.
 
Back
Top Bottom