Sijui kama nitakuja.Tayari ndoa yetu imejibu shemeji.Na yeye itabidi abaki home kunipa kampani.
Sijui lina miaka mingapi hili li bazazi Asprin maana mh Nimeamini hizi karatasi zinasaidia maana tungesha linywea bia na pila!!:dance:
Babu na mpwa Asprin bin ODM hivi ulimpaka nini huyu bi mkubwa mbona akuita majina ya chumbani hivi?
Bai ze wei hii makitu irushie Eskepu Wani halafu hakikisha mamaaa Kongosho, muke ya ukubwani kwako BADILI TABIA na muke ya ujani cacico wanatia timu...
ladyfurahia uandishi wako tu mie hoi wallah
Ahahahahhahha Mama Kijacho unanchekesha
Hujambo mpendwa?
muulize Dr. Asprin atakujibu yeye na sassa hivi yuko chumba cha mahtuti hapa mwimbili hivyo atakujibu wakati wa lunch maana namuona anavyokosea kosea kuchomeka sindano kwa mgonjwa hapa kisa eti biday yake leo halafu hana amu sana ya kuwaona mashabiki wake wa manchester humu mjengoni hususani wewe mwenyewe
Happy day rafiki mwema
wooooiyooooooooo.........!aaamaaa niiiniiii...!Happy birthday Bro!