Naona umeshindwa kuzisifia keki najua umeona tamu!
Kukuombea tu, wala usijali.....
Nambie tu unataka nimwambie Mungu unahitaji nini, nikuweke kwenye maombi ya leo usiku
Kumbe mko wengi na huu mwaka wamavuno umekaribia najua mtakuwa na akiba mnisaidie maana na mimi huu mwaka ni karatasi kwenda mbele maana ukitaka kutembelea limu safari itakuwa ngumu kidogo au unasemaje bazazi Asprin??
kumbe unayemwamini siye asiyeaminika kumbe Vin Diesel naye anatumiaga karatasi ni karatasi za aina gani hizo nifafanulie sizielewi best?
Karatasi ni zile ambazo mie na wewe huwa hatutumiii....
Sasa mambo ya makaratasi si dhambi hii....fanya kama ilivyokusudiwa:biggrin1:
Happy birthday twin@asprin
Karatasi ni zile ambazo mie na wewe huwa hatutumiii....
Happy birthday mkubwa mwenzangu.....
I get mchanganyo...hivi wewe na mugabe nani mkongwe...
And pitia masiwa hapa....
Kiongozi punguza kelele, mtoto nimelala.
Mkoloni kakuachia Bazazi mkuu vipi uko wapi nikupe mnyonyo!Happy birthday to you too my sweet twin.
Hivi unaona haya mabazazi yakiongozwa na bazazi mkuu KakaKiiza wanavyochakachua thread pendwa ya ladyfurahia?
BTW nipe ratiba, mie bado nanyonya kwa mama.
Shhhhh...tupo katika zoezi litakalokubemenda.....
Mkoloni kakuachia Bazazi mkuu vipi uko wapi nikupe mnyonyo!