nilikuwa karibu na mashine ya mbao, vumbi limenizingua
jamani mie mbona mie nipo sana sana.....nilikuwa bado nafikiria nipe muda zaid jaman
Happy bday Kidonge
Lazima niwepo, nshanunua 'cold pants', unazijua wewe hizo.
Nnakuja na keki pia.
Pole aisee, haya hebu toka hapo haraka
Sijui lina miaka mingapi hili li bazazi Asprin maana mh Nimeamini hizi karatasi zinasaidia maana tungesha linywea bia na pila!!:dance:
Mkuu HappyBirthday!
[video=vimeo;33527237]http://vimeo.com/33527237[/video]
Babu na mpwa Asprin bin ODM hivi ulimpaka nini huyu bi mkubwa mbona akuita majina ya chumbani hivi?
Bai ze wei hii makitu irushie Eskepu Wani halafu hakikisha mamaaa Kongosho, muke ya ukubwani kwako BADILI TABIA na muke ya ujani cacico wanatia timu...
eeer lete maneno weye.. come this way bana kwenye BD ya my hommieSijambo :dance::dance::dance:
Ushemegi haufagi hata siku moja...Tunatekeleza amri ya MunguAisee.....chap chap sana naona......sasa ushemeji wetu unakufa au unazaliwa upya:A S-coffee:
Yaani nipo nimejaa tele ndugu yangu, nakusubiri tu wewe na mikasa yako ya kila kukicha
eeer lete maneno weye.. come this way bana kwenye BD ya my hommie
Sijambo ndugu yangu.Habari za kubadilisha ID.Hujambo mpendwa?
Daddy una habari kuwa nina :mimba:na mwezi wa 2 huu sasa ndo mana siji home
Niko humbled bestoto... Thanks!!..... Kaburi nalichungulia live wallah!!Mabestito kila jambo na wakati wake
na kila kitu hutokeaga kwa wakati wake
hakuna kitu kitakachopangwa wakati ujao kifanyike
leo, wala hakuna jambo ambalo litakuwa la maana
ulifanye wakati usio wake.
TAMBUA KUWA
Kuna wakati wa kupanda na wa kuvuna
Kuna wakati wa kusoma, kucheka na kulia
Na mara nyingi nyakati huwa hazijirudii hovyo
bali kila kusudio ulilopanga lipo kwa wakati wake
Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa
Kuna wakati wa furaha na wakati wa huzuni
Mara nyingi nyakati zipo kwa malengo fulani
Na kuna wakati wa kuona kiumbe kipya na
kukifurahia na kucheka nacho na kuna wakati
wa kulia wakati kikiondoka duniani. Mabestito
Leo tunakumbuka siku ama wakati maalum kwa
rafiki kipenzi chetu MZEE WA UPAKO DR Asprin
tarehe aliyotokea duniani kwa wakati wake maalum
Hivyo sina budi kumtakia kheri katika kumbukumbu hii
maalum yakuzaliwa kwake, Mungu ampe afya njema
aishi miaka mingi 100 ya utumishi wake wa kidaktari
Marafiki zangu mtakie ungana nami kumtakia heri best
wetu Asprin
Warning: Mamods msimuvuzishe hii thread pls pls pls.
Wenu
Ladyf
Ohhh Mammmmmaaaa!!Duh, mkuu umekula chumvi mingi aisee....!!!!!!!!
![]()
Amina mkuu wangu, pamoja sana mtanzania mwenzangu.Amekua faraja kwa maumivu ya humu jf hasa maumivu ya kichwa.Long live aspirin
Hii nikishushia na govinder Kumar mbona itakuwa mwake???![]()
Hongera Asprin naona Mwanawane kakuandalia mambo mazuri.
Mkuu shukrani sana. Libarikiwe tumbo lililonizaa....Happy Birthday Mkuu Asprin
Uwe na maisha mema yenye furaha na amani na ubarikiwe kuyaona mema kwako na kwa familia yako
Hongera sana mkuu japo wengine wanasema tusiseme hongera bali pole kwani kila inapofikia Birthday mpya ndo unasogea zaidi kwenye ulimwengu ule mpya
Happy Birthday once again mkuu
#
Halafu wewe Heaven on Earth unapotea sana bana toka uchukue lile ua rose langu hujanijibu kama umekubali au umekataa sasa ndo nini
Happy birthday Asprin..
Mungu akupe maisha marefu
Amina mtumishi wa Mungu.... Amina sana. Hebu twende PM tukaangalie namna ya kuweza kunaniliuana.:mimba::mimba:Happy Birthday Dakitari