Happy Birthday Doctor @Asprin

Mpwa watu8, ukiona hivyo ujue kuna mtu katibiwa, kapona uzuuuri.

Hahahah!! hiyo tiba ndio yaitwa upako sio...

Hivi amu umemwona wapi?
amu hata sina hamu naye, ye kutwa nzima acheza kwa jirani huko mtaa wa saba

Ngoja nikuitie, we amuuuuuu waitwa na mpwa wangu huku uje upate upako hahahah!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahah!! hiyo tiba ndio yaitwa upako sio...


amu hata sina hamu naye, ye kutwa nzima acheza kwa jirani huko mtaa wa saba

Ngoja nikuitie, we amuuuuuu waitwa na mpwa wangu huku uje upate upako hahahah!!!

Ngoja tumfanyie dawa kwa sheikh kipozeo...atakoma mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
ram, Eben-ezeri amekumisi mno!!!
 
Last edited by a moderator:
Daddy una habari kuwa nina :mimba:na mwezi wa 2 huu sasa ndo mana siji home
 
Yaani nipo nimejaa tele ndugu yangu, nakusubiri tu wewe na mikasa yako ya kila kukicha

Mbona ipo mingi tu sijaona footprints zako huko ndiyo maana!

usisahau kuniombea alafu sawaee...

eeer lete maneno weye.. come this way bana kwenye BD ya my hommie

Mkuu Kimey, salama lakini!?? Sijui ulikuwa umefichwa wapi wewe!!!
 
Last edited by a moderator:
Niko humbled bestoto... Thanks!!..... Kaburi nalichungulia live wallah!!

Duh, mkuu umekula chumvi mingi aisee....!!!!!!!!

Ohhh Mammmmmaaaa!!

kumbe hiki kibabu leo ni siku yake ya kuzaliwa


happy birthday Asprin

Amekua faraja kwa maumivu ya humu jf hasa maumivu ya kichwa.Long live aspirin
Amina mkuu wangu, pamoja sana mtanzania mwenzangu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…