hapa mimi ndipo ninapokerwa na CHADEMA!!

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,107
6,042
Hawa wakazi wa kusini naamanisha mikoa ya Lindi na Mtwara najua kabisa wana hamu kubwa sana ya mabadiliko. Kwa sasa mimi nipo mtwara, nilipita huko mtaani yaani hali inakatisha tamaa, hawa jamaa yaani wanahitaji mabadiliko haswa na isitoshe wana hamu sana ya kumsikia Dk Slaa. Na ijulikane kwamba CCM NA CUF imeshamiri sana pande za huku,isitoshe wiki kadhaa Dk Slaa alipanga kuja huku...watu toka vijijini na pande nyingine walikaa uwanja wa mashujaa tangu asubuhi mpaka pale walipopata taarifa kwamba ameghairisha kuja, watu wakaondoka na masononeko.

Kikubwa zaidi ambacho kinakatisha tamaa na kuvunja moyo tumesikia tetesi kwamba kwakuwa Dk Slaa anakubalika sana sana pande za Mbeya basi anatarajiwa afunge mikutano yake hukohuko ambako amesota mawiki kibao. Mi nadhani katusahau wapiga kura wa Lindi na Mtwara, na kwa mawazo yangu nilidhani angetumia muda mwingi huku ambako upepo wa kisaiasa uliotawala ni wa CCM na CUF.

Ningempa changamoto tu kwamba watu wa huku Mtwara kwa sasa wamekuwa ''upset' na 'fed-up' with u Dk. Wamechoka kukuona kwenye marunninga na wanakuhitaji sana,isitoshe nadhani uangalie tena ikibidi ufunge mbio za kampeni mikoa hii ya kusini kwani utawabadilisha kifikra sana wakazi wa huku kuliko unavyozidi kujisahau pande za mbeya,rukwa na iringa ambako asilimia kubwa mno wanakukubali, nadhani imetosha na sie wanaLindi na Mtwara kukuona Live. Nakerekwa sana na hili........
 
obama-kikwete3.jpg
 
Hawa wakazi wa kusini naamanisha mikoa ya Lindi na Mtwara najua kabisa wana hamu kubwa sana ya mabadiliko. Kwa sasa mimi nipo mtwara, nilipita huko mtaani yaani hali inakatisha tamaa, hawa jamaa yaani wanahitaji mabadiliko haswa na isitoshe wana hamu sana ya kumsikia Dk Slaa. Na ijulikane kwamba CCM NA CUF imeshamiri sana pande za huku,isitoshe wiki kadhaa Dk Slaa alipanga kuja huku...watu toka vijijini na pande nyingine walikaa uwanja wa mashujaa tangu asubuhi mpaka pale walipopata taarifa kwamba ameghairisha kuja, watu wakaondoka na masononeko.

Kikubwa zaidi ambacho kinakatisha tamaa na kuvunja moyo tumesikia tetesi kwamba kwakuwa Dk Slaa anakubalika sana sana pande za Mbeya basi anatarajiwa afunge mikutano yake hukohuko ambako amesota mawiki kibao. Mi nadhani katusahau wapiga kura wa Lindi na Mtwara, na kwa mawazo yangu nilidhani angetumia muda mwingi huku ambako upepo wa kisaiasa uliotawala ni wa CCM na CUF.

Ningempa changamoto tu kwamba watu wa huku Mtwara kwa sasa wamekuwa ''upset' na 'fed-up' with u Dk. Wamechoka kukuona kwenye marunninga na wanakuhitaji sana,isitoshe nadhani uangalie tena ikibidi ufunge mbio za kampeni mikoa hii ya kusini kwani utawabadilisha kifikra sana wakazi wa huku kuliko unavyozidi kujisahau pande za mbeya,rukwa na iringa ambako asilimia kubwa mno wanakukubali, nadhani imetosha na sie wanaLindi na Mtwara kukuona Live. Nakerekwa sana na hili........

Pole, lakini wamekusikia,.....
 
Hawa wakazi wa kusini naamanisha mikoa ya Lindi na Mtwara najua kabisa wana hamu kubwa sana ya mabadiliko. Kwa sasa mimi nipo mtwara, nilipita huko mtaani yaani hali inakatisha tamaa, hawa jamaa yaani wanahitaji mabadiliko haswa na isitoshe wana hamu sana ya kumsikia Dk Slaa. Na ijulikane kwamba CCM NA CUF imeshamiri sana pande za huku,isitoshe wiki kadhaa Dk Slaa alipanga kuja huku...watu toka vijijini na pande nyingine walikaa uwanja wa mashujaa tangu asubuhi mpaka pale walipopata taarifa kwamba ameghairisha kuja, watu wakaondoka na masononeko.

Kikubwa zaidi ambacho kinakatisha tamaa na kuvunja moyo tumesikia tetesi kwamba kwakuwa Dk Slaa anakubalika sana sana pande za Mbeya basi anatarajiwa afunge mikutano yake hukohuko ambako amesota mawiki kibao. Mi nadhani katusahau wapiga kura wa Lindi na Mtwara, na kwa mawazo yangu nilidhani angetumia muda mwingi huku ambako upepo wa kisaiasa uliotawala ni wa CCM na CUF.

Ningempa changamoto tu kwamba watu wa huku Mtwara kwa sasa wamekuwa ''upset' na 'fed-up' with u Dk. Wamechoka kukuona kwenye marunninga na wanakuhitaji sana,isitoshe nadhani uangalie tena ikibidi ufunge mbio za kampeni mikoa hii ya kusini kwani utawabadilisha kifikra sana wakazi wa huku kuliko unavyozidi kujisahau pande za mbeya,rukwa na iringa ambako asilimia kubwa mno wanakukubali, nadhani imetosha na sie wanaLindi na Mtwara kukuona Live. Nakerekwa sana na hili........

hapo kwenye bold acha kuishi kwa tetesi na kukeleka wakati huna uhakika na taarifa kamili
 
ni tetesi kwa sababu kwa kadri ya timetable yake inabidi afunge kampen Dar, so kwakuwa CCM nao wanamalizia hapo Dar basi wao wanaenda Mbeya kuzuia mgongano pale Jangwani...
 

omba omba wenu anaomba asaidiwe maana hajui kwa nini nchi yake ni maskini! Akifika ruvuma kwenye kampeni anaonge na simu na kuwataarifu watu kwenye mkutano alikuwa anaongea na obama ameahidi kutuma misaada zaidi!!!
Uchuro mtupu!!!!!!! Hana jipya
 
Kulingana na ratiba yaonyesha Dr.Slaa alitakiwa kuwa mikoa ya kusini mwanzoni mwa mwezi wa October tena angepitia kwanza Visiwani (Unguja na Pemba). Sasa kama wameahirisha kufanya hivyo au wameondoa kabisa misafara ya sehemu hizi mbili bila maelezo muhimu nadhani tuna kila sababu ya kuwalaumu viongozi waliopanga misafara hii..
 
Dr Slaa inabidi afike huko, tunamhitaji katika hii nchi, hata kama kabanwa lakini we need him to be everywhere. Au kuna dalili mbaya ndo maana kaamua kubypass.
 
Kama ni kweli hataenda huko atakuwa hajawatendea haki watu wa Lindi na Mtwara, ilikuwa aende mwishoni mwa september.
 
Hamumuhitaji Dr. Slaa ili kupata ukombozi wa minyororo ya CCM.

Dr. Slaa aje huko au asije hilo lisiwe kisingizio chenu cha kutochagua Chadema na Dr. Slaa kwa kishindo ambacho JK na CCM yake itashika adabu.


Shida zenu ndizo ziwaongoze kufanya maamuzi yenye utashi wa kisiasa. Maendeleo yenu kamwe hayatapatikana kwa hotuba bali kwa ninyi kufanya maamuzi ya kujijenga siku zote.

 
kwakweli wewe ndo unaelewa nini maana ya kuchoka na kutaka kufanya mabadiliko, hoja yako ni ya msingi sana, ila usikate tamaa siunajua saa zingine mambo ya uchumi, ila mungu ni mkuu, nina imani Dr atakuja huko lazima. pole sana na endelea kuwahamasisha watanzania, wanaopenda maendeleo, hata huku kwetu hajafika bado ila tunaimani atafika bado muda upo.
 
Chukueni FILM ya hotuba za Slaa na muangalie.

Aje huko kupoteza muda na pesa? Huko malizazeni Waswahili wenyewe kwa wenyewe.

CUF na CCM mnapendeza sana Mtwara na LINDI. Makonde kwa ChiChieM ni kama Mguu Mchafu na Sindimba.
 
Hawa wakazi wa kusini naamanisha mikoa ya Lindi na Mtwara najua kabisa wana hamu kubwa sana ya mabadiliko. Kwa sasa mimi nipo mtwara, nilipita huko mtaani yaani hali inakatisha tamaa, hawa jamaa yaani wanahitaji mabadiliko haswa na isitoshe wana hamu sana ya kumsikia Dk Slaa. Na ijulikane kwamba CCM NA CUF imeshamiri sana pande za huku,isitoshe wiki kadhaa Dk Slaa alipanga kuja huku...watu toka vijijini na pande nyingine walikaa uwanja wa mashujaa tangu asubuhi mpaka pale walipopata taarifa kwamba ameghairisha kuja, watu wakaondoka na masononeko.

Kikubwa zaidi ambacho kinakatisha tamaa na kuvunja moyo tumesikia tetesi kwamba kwakuwa Dk Slaa anakubalika sana sana pande za Mbeya basi anatarajiwa afunge mikutano yake hukohuko ambako amesota mawiki kibao. Mi nadhani katusahau wapiga kura wa Lindi na Mtwara, na kwa mawazo yangu nilidhani angetumia muda mwingi huku ambako upepo wa kisaiasa uliotawala ni wa CCM na CUF.

Ningempa changamoto tu kwamba watu wa huku Mtwara kwa sasa wamekuwa ''upset' na 'fed-up' with u Dk. Wamechoka kukuona kwenye marunninga na wanakuhitaji sana,isitoshe nadhani uangalie tena ikibidi ufunge mbio za kampeni mikoa hii ya kusini kwani utawabadilisha kifikra sana wakazi wa huku kuliko unavyozidi kujisahau pande za mbeya,rukwa na iringa ambako asilimia kubwa mno wanakukubali, nadhani imetosha na sie wanaLindi na Mtwara kukuona Live. Nakerekwa sana na hili........

Hao wana Kusini wanakubaliana na sera za cuf na ccm ama wanapenda tu kuwasikiliza Lipumba na JK?
btw nakupa changamoto;chunguza what ccm and cuf have in common halafu angalia demography ya huko then unaweza kupata statistical inference.
Je ni nini haswa kinachofanya cuf na ccm wapokelewe zaidi huko kusini?Je ni kwasababu Dr Slaa hajaenda?
 
Chukueni FILM ya hotuba za Slaa na muangalie.

Aje huko kupoteza muda na pesa? Huko malizazeni Waswahili wenyewe kwa wenyewe.

CUF na CCM mnapendeza sana Mtwara na LINDI. Makonde kwa ChiChieM ni kama Mguu Mchafu na Sindimba.

Mkuu kwa kauli hizi hebu nambie mabadiliko unayoyataka manake watu wanataka kujua ni zipi sera za CHADEMA, wewe unawakatisha tamaa. Hata kama ni ngome ya CCM na CUF nadhani kilio chao kwa Dokta kinahitaji kusikilizwa vinginevyo Dokta atakuwa ameanza kuonesha wazi kupendelea baadhi ya maeneo ilhali bado ni mgombea tu,, akiwa rais itakuwaje?

Tafakari.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Mkuu kwa kauli hizi hebu nambie mabadiliko unayoyataka manake watu wanataka kujua ni zipi sera za CHADEMA, wewe unawakatisha tamaa. Hata kama ni ngome ya CCM na CUF nadhani kilio chao kwa Dokta kinahitaji kusikilizwa vinginevyo Dokta atakuwa ameanza kuonesha wazi kupendelea baadhi ya maeneo ilhali bado ni mgombea tu,, akiwa rais itakuwaje?

Tafakari.

Mungu Ibariki Tanzania.
Una uhakika walizipenda sera za cuf na ccm kwasababu hawajawahi kuzisikia sera za chadema?

Ni bora ingekuwa ni ngome ya cuf peke yake,then from there hakuna shida,kama wapinzani wanaweza kufikiri namna ya kushirikiana,ila kama wananchi hao wa ukanda wa kusini wana hamu na mabadiliko watayafanya na kamwe hawawezi kulazimishiwa.

Wananchi wenye kujitenga kidini na kikabila wana matatizo mengi sana ambayo ndiyo kikwazo cha mabadiliko...Kama wameridhika huwezi kuwalazimisha,mabadiliko yataletwa na wenye nia.....kwenye dunia ya sasa yenye kujali demokrasia,basi hata ukiamua kuwa mjinga ni rukhsa!

Hata Mungu mwenyewe akishuka leo lazima kuna watakaompinga,lakini kupingwa haimaanishi kushindwa.
Pia mleta hoja inaonekana haonyeshi msingi wa hoja yake na wewe kwa kukurupuka ukaingia mtegoni na kuanza bla blah...Mleta hoja kadai wananchi hao wa kusini wanamwona Dr Kwneye luninga tu na sasa wanataka kumwona live!Sasa ina maana kuwa wameshamsikia na kumwona kwenye luninga akimwaga sera...Kumbe tatizo siyo kwamba hawajamsikia kama unavyotaka kupindua hoja na kutuaminisha upotofu wako....Bali wanataka kumwona live kama watu wa maeeo mengine.
 
Back
Top Bottom