Kweli ndugu yangu muda ni mfupi na hakuna dalili zozote..iwe ni matangazo au vinginevyo,so sijui itakuwaje tegemeo la rais asije huku..nahisi kuna hatari ya kutudharau endapo ataingia ikulu coz anaweza akajigamba kwamba nimeingia ikulu bila kwenda mikoa hii(sidhani coz Dk ni mwerevu) bt the point ni kwamba we are still in dark view abt him and chadema.
Ujumbe wameupata..............trust me............swali ni je....wataufanyia kazi?