Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,883
tuseme umemtegea...........🙄
...wala simshangai, maisha ya ndoa yamekuwa kama mchezo wa Draft au chess! ...one wrong move mwenzio anakula mpaka 'kingi!'
tuseme umemtegea...........🙄
...wala simshangai, maisha ya ndoa yamekuwa kama mchezo wa Draft au chess! ...one wrong move mwenzio anakula mpaka 'kingi!'
...wala simshangai, maisha ya ndoa yamekuwa kama mchezo wa Draft au chess! ...one wrong move mwenzio anakula mpaka 'kingi!'
Wenye kuoa/kuolewa miaka hii mbona mna kazi kubwa?! Maana kila kitu siku hizi kinaeleweka - thanks to mitandao kama hii...watu wanaingia kwenye ndoa wakijua kila uongo, trick/mbinu/hila..huwezi kudanganya chochote.Kuanzia maswala ya rasilimali, hadi mambo flani.Ukifikiri wewe ni mjanja sana..utakuta mwenzio kakuzidi maarifa mara mia.Ukifikiri wewe unamlia timing..yeye utakuta keshamaliza zamaniiii.....kazi kweli kweli!
...ha ha ha, we waache tu watusome na kunakili hata wakitaka kuprint! Wakumbuke, watayokumbana nayo kwenye ndoa zao yatakuwa mengine mapya!
...hayana formula mambo haya!
...ha ha ha, we waache tu watusome na kunakili hata wakitaka kuprint! Wakumbuke, watayokumbana nayo kwenye ndoa zao yatakuwa mengine mapya!
...hayana formula mambo haya!
...ha ha ha, we waache tu watusome na kunakili hata wakitaka kuprint! Wakumbuke, watayokumbana nayo kwenye ndoa zao yatakuwa mengine mapya!
...hayana formula mambo haya!
Wala usiogope ,ni heri ya huyo maana wengine wanafanya kinyume chake ,wewe ukipata pesa wekeza kwa jina lako ,na anapokuwa ktk wakati mgumu msaidie na anazokupa kwa matumizi tumia vizuri ,usimfanyie ufisadi,usiweke sheria ,mambo yanajipa yenyewe cha muhimu kuwa muangalifu as there is no one best way of solving problems!!
duh@ imekuwa hivyo tena eh...niko tayari kuandika manual yaani nikiingia hivi kwenye ndoa tayari kitabu ninacho...what to do and what not to do!!!! ahahahhaaaa.
...duuuuh! kwa maana hiyo 'akikuletea' za kuleta wewe mbio chumbani unafungua 'user manual' yako; ...page 103 unamnukuu WoS , page 217 Mwj'1, page 301 Fidel80... huh!
...siku utakuta ka 'user manual' kamechomwa moto ndio utatia akili! 😀
Hahah hiyo siku ya kunukulu dogo Fidel, imagine atakutana na 'solution' gani? just thinking loud hahahahaa
Heeee aaaaaa jf bwanaaaa! kuna mambo...baada ya kunukuu hiyo solution mwenyewe taratibu anarudi kwenye line au sio.Hahahaha bro. atakutana na solution ya kujiexpress kama kawa.
Heeee aaaaaa jf bwanaaaa! kuna mambo...baada ya kunukuu hiyo solution mwenyewe taratibu anarudi kwenye line au sio.
C ndo maana tupo hapa ndugu. Wewe changi tuu, tena ngoja nichangie na mimi unipe hoja yako...stand by.Nimekuja kustukia watu humu huwa wanapost matatizo yao ya kweli waliyonayo kwenye ndoa zao au mahusiano yao. Lol....
Msiniulize nimestukiaje lakini baadhi ya watu wana "issues" kweli kweli!!!!!!!!!!
Kwa kweli dear am against kujiexpress but kutokana na nukuhu zako ndo nikamwambia may be it can help to return the man in line again.karibu dada Penny naona umepotea sana katika ulingo huu michango yako ile ya against kujiexpress ni muhimu sana tumwagie basi faida na hasara zake.
That is why we are here my shem in the consellors room (Jamii Forum aka JF) kupata utabibu.Nimekuja kustukia watu humu huwa wanapost matatizo yao ya kweli waliyonayo kwenye ndoa zao au mahusiano yao. Lol....
Msiniulize nimestukiaje lakini baadhi ya watu wana "issues" kweli kweli!!!!!!!!!!