Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
........... Shauri lako utakula mvua 30, mheshimiwa hakimu hana mchezo juu ya hilo!
Mi nilikuwa namaanisha kilimo, hasa cha mahindi, wamejaliwa ardhi yenye rutuba kweli, na sasa kauli mbiu ya kilimo kwanza watapata misaada kibao tu, sasa hiyo mvua 30 imetoka wapi....LOL