Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 45
- Thread starter
- #141
...ili kulinda ndoa yako, dawa ni kutokuwa mkweli 100%. Iwapo Spouse wako anajua ndururu zote zinazoingia kwenye account ina maana uwe mkweli vile vile kumwambia kiasi gani huwa unawasaidia wadogo zako ada na pesa za shule hata kama mkeo hapendi!
Mpangiane kiwango cha 'kuweka pesa mezani'. Nyumba bila bajeti (i.e kodi, chakula, luku, maji, watoto) na mipango ya maendeleo (ujenzi, usafiri, nk) itayumba tu. Muhimu kuwekana sawa mapato na matumizi yenu ya lazima. Vilevile muwe na mfuko wa dharura. kitachozidi halali yenu kila mmoja kuji treat mwenyewe japo kwa 'peremende ya kijiti'
Lollipop angalau!!🙂