Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Kama mlivyofanya we na nyamayao?
hapana kaka ikiwa utajulishwa tu ili upate sehemu ya mahari lol
haha Mrs wangu uyo! bado tunacheza hide-and-seek chumbani, bado kidogo tuje sebuleni sasa...heheheheh apo hutasikia tena mambo ya pesa sijui HG wala house boy...lol