Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,920
Muda mfupi uliopita wanamgambo wa Hamas wamesema wamefanikiwa kuvirudisha nyuma vikosi vya jeshi la Israel vilivyojaribu kuingia kwenye ngome zao.
Wanamgambo hao wamesema waliwarejesha nyuma askari hao wenye mafunzo na vifaa imara pale walipoingia kuanza kuziba uzio waliouvunja wiki iliyopita na kubaki wazi muda wote wa karibu wiki mbili.Shambulio hilo la IDF kwa mujibu wa Hamas lilifanyika kwenye eneo la Khani Yunus.
Kwa mujibu wa wasemaji wa IDF huo ulikuwa ni mtego uliotegwa kwao na walifanikiwa kurudi nyuma haraka.
Wanamgambo hao wamesema waliwarejesha nyuma askari hao wenye mafunzo na vifaa imara pale walipoingia kuanza kuziba uzio waliouvunja wiki iliyopita na kubaki wazi muda wote wa karibu wiki mbili.Shambulio hilo la IDF kwa mujibu wa Hamas lilifanyika kwenye eneo la Khani Yunus.
Kwa mujibu wa wasemaji wa IDF huo ulikuwa ni mtego uliotegwa kwao na walifanikiwa kurudi nyuma haraka.