Kuna Padri mmoja amezaa na mwanamke sasa yule mwanamke anamnyanyasa sana yule padri maana kila akijaribu kuachana nae anamwambia nabeba huyu mtoto namleta hapo parokiani kwako!
Basi yule padri ananywea kimyaa!
Sasa ndio hii, hao wadada wanajua maujinga yote ya mwenyekiti ndio maana wanamdharau