mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,025
- 1,743
Sawa dada umeyatoa ya moyoni na watu tumekusikia!
Hata hivyo kuna jambo moja bado hujaliweka sawa!
Tunataka kujua yale majina 19 ya MP's wa viti maalum yaliandaliwa na nani?
Yaliidhinishwa na kikao kipi cha chama?
Je, ni kweli Mnika ndiye aliyeyapeleka NEC kama jinsi mhalifu Mahela anavyosema?
Umeseusema ukweli kuwa CGADEMA ni taasis kubwa na inafanya kazi kitaasis sasa ni kwanini hata kama uliitwa na spika Dodoma usifanye mawasilianlo na viongozi wenzako japo Mwenyekiti Mbowe au Mnyika ambaye ndiye incharge wa suala hilo?
Mkubali kwamba mmekikosea chama na ombeni radhi kwa unyenyekevu kwani hakuna mkubwa kuliko chama!
Hata hivyo kuna jambo moja bado hujaliweka sawa!
Tunataka kujua yale majina 19 ya MP's wa viti maalum yaliandaliwa na nani?
Yaliidhinishwa na kikao kipi cha chama?
Je, ni kweli Mnika ndiye aliyeyapeleka NEC kama jinsi mhalifu Mahela anavyosema?
Umeseusema ukweli kuwa CGADEMA ni taasis kubwa na inafanya kazi kitaasis sasa ni kwanini hata kama uliitwa na spika Dodoma usifanye mawasilianlo na viongozi wenzako japo Mwenyekiti Mbowe au Mnyika ambaye ndiye incharge wa suala hilo?
Mkubali kwamba mmekikosea chama na ombeni radhi kwa unyenyekevu kwani hakuna mkubwa kuliko chama!