johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Wewe ni mjumbe wa kamati kuu?Bwashee mtaendelea kuweweseka tu,khabar yake imeshakwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjumbe wa kamati kuu?Bwashee mtaendelea kuweweseka tu,khabar yake imeshakwisha
Acha prediction zako, Mbowe aliongea kwa uwazi na fasaha wazi wazi kwamba wao hawajahi kukaa kuandaa list ya majina na kupelekwa bungeni kama ilivyo katiba yao, na alirudia mara kadhaa hawa madada wamevuliwa uwanachama na nyadhifa zao zote ndani ya chama.Anazunguka mbuyu Kwa sababu hataki kuwa mbuzi wa kafara Kwa mbowe , amempa chance mwenyekiti wake kabla ya kumwaga ugali. Mbowe na Mdee ni top brand kwenye chama maswala ya kudhalilishana Kwa shinikizo toka Kwa watoto akina mnyika sio pouw , inshort mbowe anajua what is going on. Akishindwa kunetralize mambo, wataenda kuvuana mahakamani.
Wewe ni mjumbe wa kamati kuu?
Hata wakati wanapiga picha na Ndungai walikua na huzuni kama vile wapo mahakamani na hakimu amewapa hukumu ya kwenda jela COVD-,19 wote miaka 30 pamoja na Kazi ngumu.Maswali mengi mliomuuliza H.Mdee yalikuwa yakimkakati sana na kwa namna moja yamemuyumbisha Halima kwa kipekee kabsaa na mengi amrshindwa kabsaa kuyajibu na Hilo ni ushindi wa kazi yenu...
Hata wakati wanapiga picha na Ndungai walikua na huzuni kama vile wapo mahakamani na hakimu amewapa hukumu ya kwenda jela COVD-,29 wote pamoja na Kazi ngumu
Usaliti ni laana inayowachoma wasaliti daima dawamu
Katika chaguzi zote tangu vyama vingi vimeanza kuanzia 2010, 2015 na 2020 hakuna uchaguzi ambao tuliuukubali
Mwangi huo unatokomea. Mama kakataa katakata kumtaja aliyepeleka majina kwa Mahera. Hapa ndipo jinai lilipolala.Kuna watu hapa Jf waliamini na bado wanaamini Halima Mdee anaweza kwenda kinyume na Mbowe.....
Mbona amejibu vizuri sana? Alichosema ni kuwa hayuko tayari kuendelea na malumbano in public ambayo yatawafaidisha wasio na nia njema. Haya maswali yote watayajibu katika rufaa yao mbele ya Baraza Kuu la Chadema.Mpka sasa hivi hawajajibu maswali yenye tija, kwa mfano: Nani aliwasainia fomu na kugonga mihuri? Nusrat Hanje amefika fikaje bungeni? Imekuaje process zote zile zienda discreet kiasi kile mpka wameapishwa hakuna mtu aliyekuwa anajua? Na pia Leo asipoikana hyo nafasi yake ya ubunge wa kupewa apite hivi asijilazimishe kuwa mwana Chadema. Aamie hata ccm maana nacho ni Chama 😂
Hivi kuitwa kwenye kamati na kugoma kwenda, bado unataka chama kiendelee kuwavumilia. Wabaki na hao waliojitangaza kuwalinda. Hakuna anayezungumzia huo ubunge wao, waendelee nao wakiwa chini ya ulinzi wa Ndugai.Chadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
We umelipwa kumpamba?Unalipwa kumchafua?
unalipwa kumpamba?Unalipwa kumchafua?
Imeisha hiyo Mkuu. Hawawezi kuwa maarufu kuliko Chama kilichowajenga kisiasa. Walisahau kuwa kilichowavutia Wanachama na Wafuasi wengi wa Chadema kuchanga fedha na kuwanusuru na kifungo siyo kwa sababu ya umaarufu/umuhimu wao bali ni Chadema.Ni vyema Chadema mkae mezani na hawa mwanachama 19 ni muhimu mno. Mkiwapoteza itakula kwenu. Hawa wanawindwa kuliko wale waliounga juhudi. Mbunge mmoja kati yao ni sawa na wabunge 200 nWahakikishia muhimu mkutane mjue ukweli then baadaye watajiondoa bungeni kwa kuwa waliteuliwa kibatili na mteuzi asiyejulikana.