Halima Mdee: Mimi pamoja na timu yangu (Wabunge 19) tutabaki kuwa WanaCHADEMA kindakindaki. Tutaenda kuyajenga ndani kwetu

Mpka sasa hivi hawajajibu maswali yenye tija, kwa mfano: Nani aliwasainia fomu na kugonga mihuri? Nusrat Hanje amefika fikaje bungeni? Imekuaje process zote zile zilienda discreet kiasi kile mpka wameapishwa hakuna mtu aliyekuwa anajua? Na pia Leo asipoikana hyo nafasi yake ya ubunhe wa kupewa apite hivi asijilazimishe kuwa mwana Chadema. Aamie hata ccm maana nachi ni Chama

Maswali mazuri sana
 
Chadema kindakindaki huku bado mmekumbatia ubunge, stop kidding me.

Option is simple, rudini Chadema muachie ubunge, au bakini na ubunge muondoke Chadema.

Msituchezee akili.
Wewe utawapa ugali wa kula na watoto??? Msiwadanganye wakabaki kula hewa..hawana kazi nyingine hao jomba...ooohhhh
 
Me nawaambia kila siku,bila bunduki hao watu hawatakuwa na heshima.Bunduki zichezwe hata miaka 3 heshima itarudi.This time ni wafalme hao watu
Unaonaje ikitokea umetaitiwa na jambazi ako na bastola then akunyoshee, mavi hatagonga vyupi kweli kabla hata ya kufyatuliwa risasi
 
Mkuu hii kitu ipo kwenye mchakato wao. Hauwezi kuchukua hatua zaidi kwenda mbele kabla haujamaliza kwenye chama. Hapo wapo kimkakati zaidi. Wanakata rufaa za ndani, kwa sababu wenye maamuzi ni walewale lazima watawapiga chini. Sasa kitakachofuata wataingia mahakamani na hapo mchezo wote ndio utakuwa umefika mwisho.

Kituo ni mahakamani huku kwingine kote ni kukamilisha mchakato
Sawa mkuu, ngoja tuone huko mbeleni. Huenda kwa sasa walichofanya ni kushusha tension iliyokuwepo kuonyesha wapo pamoja na chama then waendelee na harakati zao
 
Kuna watu hapa Jf waliamini na bado wanaamini Halima Mdee anaweza kwenda kinyume na Mbowe.

Siyo rahisi.

Halima Mdee hawezi kuiacha Chadema hata akikumbatiwa na nani nje ya Chadema.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini alienda bungeni kuapa? Kwanini na yule mwenzake alitolewa jela usiku na siku ya pili akaamkia bungeni kuapa?
Tumia japo nusu za akili zako utafakari hili halafu utapata majibu mengi ambayo yanaviashiria vyote vya dadako Halima Mdee kununuliwa na kupokea mpunga bila chua
 
Ukweli ulikuwa upi zaidi ya kushawishiwa na CCM na kuwarubuni..... hawa wadada wakajisahau namna walivyokuwa wanavurumishwa na hao hao ambao leo wamewakumbatia.
Ukiambiwa utoe uthibitisho wowote wa wao kushawishiwa na CCM huna. Hivyo usipende kuongea vitu vya kubuni. Hiyo ni mojawapo wa viashiria vya upungufu wa uelewa.

Swala hili halikutakiwa kuamuliwa haraka kama walivyoamua. Kulikuwa na kila sababu kwa watuhumiaa kupewa nafasi ya kujitetea ili kutoa uamuzi wa haki.

Kitendo cha watuhumiwa kutopewa nafasi ya kujitetea nacho ni kiashiria cha kuwa kuna ukweli unafichwa. Usiwaone wamama hao kuwa ndiyo wanaostahili kukosea ukajisahau kwamba hata viongizi wa chama nao wanaweza kukosea. Why hawakukubali kuwasikiliza kabla ya kutoa hukumu? Ni sheria gani inayoruhusu kumhukumu mtu pasipo kujitetea?

Iruhusu akili yako kufanya uchambuzi. Ni kwa nini watuhumiwa hao hawakuruhusiwa kujitetea?
 
Hii turning waliyoifanya Halima na wenzake siyo mchezo aisee maana expectation ya watu ilikuwa tofauti kwa kila upande walichokuja nacho kimewamaliza wote na kurejesha mpira kati, watakuwa walipima cons na prons wakaona heri yaishe kwa mujibu wa press hatujui yale ya nyuma ya pazia

Kama ni kweli wamedhamiria hivyo basi chama chao kitaona namna ya kudeal nao

Ila la pili kwa maoni yangu nadhani wale waliowarubuni maana kiuhalisia wapo wameona impact ya kile walichofanya wamegundua kuna jinai nyingi sana ambayo kama ikienda kwa vyombo vya sheria mambo yataharibika wakaona eeh hili tuachane nalo kaombeni msamaha ili haya mambo yaishe
Karata wameocheza kijanja sana mbumbumbu wengi hawataelewa u turn yao.

Wangekubali kujivua uanachama na kushupaza shingo maana yake wangepoteza sifa za kuwa wabunge lakini sasa hivi wanaenda kuforce ndani ya chama warejeshewe uanachama wao kisha waendelee na mchakato wa kupigania chama kiridhie matokeo.

Kwa vyovyote vile chama kingeandika barua ya kutowatambua Kyle bungeni kwa kuwavua uanachama kisha kikateua wengine wao wangekuwa looser at the same time aliyewashawishi nae angekuwa looser.
 
Back
Top Bottom