Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ni jambo jema, kweli itatuweka huru.Ni jambo rahisi tu la kusema mchakato wa kuwapata hao wabunge 19 ndani ya chama ulifanyikaje na majina yao pale NEC yalipelekwa na nani.
Hakuna siri ya kusubiri rufaa ndio ueleze ikiwa mchakato wote ulifuata katiba ya Chadema.
Hadi sasa picha waliyonayo wananchi ni kwamba wabunge wa viti maalumu Chadema hupatikana kwa njia za panya yaani kwa utaratibu usio rasmi.
Maendeleo hayana vyama!