Hali ya wanachuo mtaani

Mjifunze kuwa street smart maana mtaani nadhani unajionea hali ilivyo.
 
In general vijana wengi wa Tanzania ni wavivu. Huwezi compare na mkenya au mnigeria ambaye anakuja bongo hapa hana ndugu au jamaa na ndani ya mwaka ana maisha kuliko vijana ambao wamekulia hapa hapa bongo miaka yote.
 
Kuna maana hauwezi ajiriwa?
 
Elimu si tiketi ya kukimbia blue collar jobs. Ni inakuwezesha uzifanye kifanisi na kwa akili zaidi. Big up wasomi wote wasioona aibu kupika vitumbua, kufanya mama ntilie, kuwa chinga, kulima nk.
 
Mtengeneze upya atakushukuru
 
kufurahishwaa km sio kushangazwaa


Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Kujiajiri ndo kunawatoa watu, ila inatakiwa juhudi na uthubutu, ukiajiriwa mishahara ipo caped , unless uwe mwizi kazini ndo unaweza kupata maendekeo chap chap.
 
Mpuuzi wenu huyo Magufuli ndio aliyesababisha hii hali ,mbona enzi za Kikwete ajira zilikuwa zinamimimnika kwa wasomi kuanzia sekta binafsi mpaka serikali ,Magufuli mpumbav aliua sekta binafsi na kuidumaza kwa sera zake na bado akazuia serikali kuajiri kwa zaidi ya miaka mitano ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…