Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,984
- 27,602
Huyo mzazi ni mjinga.Elimu ya Tanzania ni UTAPELI.
Mzazi anauza Ardhi kutafuta karatasi eti mtoto apate Degree...
Elimu ya Bongo ni WIZI.....
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
3.8 anaendesha bajaji? Huyo naye hayuko serious mbona vyuo kibao tu vime re advertise nafasi za kufundisha kwa GPA hiyo hasa kwa kozi yake Iko rare so hata tutorials ni wachache mnoo.wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,
Mimi najua huko hotel management unafata niniNdo maana nikimaliza gamba langu hili, nataka miende hotel management n tourism, nikitoka hapo niwe mpishi au muongoza watalii.
kunalipaa aseee.
Hiyo kozi Ontario ilimshinda akaacha chuo😂Baada ya ugunduzi wa gesi, wachina waliojenga Bomba wakatoa scholarships za watu kusomea Petroleum and related fields, watu wakahamasishwa, serikali ikachukua the best kusomea hiyo course.
Wakasoma, walipomaliza Utawala ukabadilika, ukasitisha uwekezaji wote
Petrobas, Stateoil waliokuwa wakifanya utafit deep sea wakaahirisha utafiti na kurudi kwao maana mazingira ya uwekezaji yalikuwa hayako upande wao.
Halliburton walikuwa na Ofisi zao karibu na India CC nao wakaondoa.
Ukijaribu ona, ni siasa ndo chanzo cha yote kutokea
Sijamtaja popoteHiyo kozi Ontario ilimshinda akaacha chuo
Mmmmh basi kazi ipoo daaahKama sio mwenzao hupewi unaeza hujumu kampuni
Oilcom wataajiri Mwarabu mwenzao au mtu aliyeletwa na mtu anayemjua mtuMmmmh basi kazi ipoo daaah
Alikuwa anasoma hyoSijamtaja popote
Unadhani ni rahisi hivyooo?? Sijui huenda alijaribu akakosaa, sema uwe na connection hapa nchini, vinginevyo utakulaa vumbii tyuuh.3.8 anaendesha bajaji? Huyo naye hayuko serious mbona vyuo kibao tu vime re advertise nafasi za kufundisha kwa GPA hiyo hasa kwa kozi yake Iko rare so hata tutorials ni wachache mnoo.
Nyokoooo weeMimi najua huko hotel management unafata nini
Anyway ukapate hoteli za kitalii wazungu kibao utapata hela kwer kwer hiiiiih
Ndyoo tena palee wamejaa waarabu tyuuh,Oilcom wataajiri Mwarabu mwenzao au mtu aliyeletwa na mtu anayemjua mtu
Au aende kwa muha wa worldoilNdyoo tena palee wamejaa waarabu tyuuh,
Duuh ila inaumiza mnoo.
Yes, upo sahihi, kujiajiri ninakozungumzia mimi ni kwa huyu mhitimu ambaye ameamua kuwa machinga na kuwa bodaboda ambapo ndio asilimia kubwa wameangukia huko, waliotoboa ni bahati, channel plus wenye mitaji mikubwa ambapo kati ya wahitimu kumi wenye hivo vitu hawazidi wawili.Nani aliyekudanganya mdogo wangu kuwa kujiajiri hakujawahi kumtoa mtu?
Shida bado haujajikubali; akili yako imelenga status job ndio kila kitu.. umeamka asubuhi umechomekea umevaa tai unaenda kwa office unapigwa kiyoyozi.
Kuna watu wamejiajiri pesa wanayoingiza kwa mwezi mbunge akasome
Utapata maslahi kwer kwerNyokoooo wee
Nafata kazi na maslahi yakee.
Nyie wazee wa upinde mnavutaga bangi kwanza nini... Me sikuelewag kabisa yan...mie sio shida zangu, afu fursa za kutoboa mie zipo waziii, ni maamuzi tyuuh.
Yaan nikigusaa huyooooo napepeaaa,
Ni kweli lakini kufundisha kama una GPA kubwa mnaweza itwa watano tu so chances za kutoboa bila connection ni kubwa. Ukiangalia Mitandaoni nyingi zinakua re-advertised maana hakuna applicants wenye vigezo wameomba.Unadhani ni rahisi hivyooo?? Sijui huenda alijaribu akakosaa, sema uwe na connection hapa nchini, vinginevyo utakulaa vumbii tyuuh.