Hali ya wanachuo mtaani

Bora yeye ana uhakika wa kupata laki 6 kwa mwezi
 
Mmmmh,,,, kusoma ni vizuri, swali ni je UNASOMEA NINI?
Mtizamo wa elimu inatakiwa ubadilishwe pia na muda wa kukaa shuleni inatakiwa upunguzwe pia. Ili mtu akitoka huko awe na start up ama basic knowledge tu aingie mtaani aanze Kama kuuza mahindi,kuchoka vitumbua awahi ajipange mapema.

Mie nikushauri primary iwe 5yrs na sekondari 5 years then chuoni iwe 3/4 Kwisha kazi. Mtu akiingia kazini afanye kazi chini ya wazoefu awe Kama anasoma practically Sana.

Yaani Kuna watu wanapata elimu kubwa mtandaoni kuliko chuoni Tena ya Mana na Ni bure kabisa.

Mana ukimaliza chuo ndipo unapoaanza kusoma Sasa,Mana kitu unachokipenda huwezi kukoma kutokisoma kila siku.


Yaani mtu unajiumiza unasoma weweee baadaye Tena kazi inakuwa shida na watu wako programmed since their childhood. To rewire or recode that program isn't an easy shiiit
 
Hata kudanga washakuwa wengi kwa sasa wanashindana na darasa la 7, hao wana zinazobana wao wana mabwawa
 
Hakika huu Ni ujumbe mzuri Sana mkuu
 
Kuna watu wanauza sambusa, juisi na maisha yanasonga vizuri tu
 
Tatizo vijana wa ckuiz Ni wavivu kupitiliza,Yaani kijana akishahitimu elimu ya chuo utamuona akizunguka maofisini na bahasha kutafuta white collar jobs ambazo Ni ngumu kupatikana.

Vijana wanatakiwa wajiongeze wajifunze kazi za mikono ambazo zitawawezesha kujiajiri.
 
Majobless tumebaki kubet tu balaaa
Mimi madogo wa chuo nawaambiaga hakikisha kabla ujamaliza boom la mwsho ununue viwalo vya kutosha
Depo la mtaani huku utavaa boksa inaisha hadi inabaki na kamba kama nanga
Serikali iangalie kama inashindwa kuaccomodate graduates basi waombe mazingira vijana wakajarbu ng'ambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…