Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Nilisoma mada ya eethicschuoni sikuwahi kukuta msamiati wa sin kama kinyume cha kanuni au sheria za kimaumbile. au za kijamiiDhambi siyo neno la kidini. Ni suala la maadili tu. Watu wamelikoleza kwenye udini for no obvious reason. Hata ukipiga ngumi ukuta umefanya dhambi na mshahara wake ni maumivu mkononi mwako. Sin is going against the law, ANY LAW.
Dhambi nafahamu ni neo la dini kwenda kinyume na sheria za mungu.