Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

Asante CCM

JF-Expert Member
Jun 22, 2023
346
1,301
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.

Alichoandika Haji Manara
Wakati huu tukiendelea kujenga hoja zetu DP World Waje au Wasije kuwekeza katika Bandari yetu, tunakumbushana tu Bandari ya Dar es salaam haikuwepo na haikutoka Mbinguni.

Ilianzishwa na kujengwa na Sultan wa kiarabu mnamo mwaka 1843 kabla ya Nchi ya Tanganyika kuwepo wala Mtoto wake Tanzania.

Ni miaka takribani 180 iliyopita, Kiufupi kukosa kina Carl Peters kutengeneza matabaka ya mataifa ya kiafrika mwaka 1884 kule Berlin Germany, Bandari hii ingewahusu Wazaramo na Mashomvi wa Dar tu.

Sina maana hiyoooooooo mnayofikiria lakini ni vizuri tukakumbushana ya zamani pia.

Nb:: Kiuhalisia hii Bandari haituhusu kivileeeeee na kujifanya tuna uchungu kama tumeshushiwa toka Kwa Mungu, kuna Watu walitoa Ardhi yao ya fukwe kisha ukawekwa mzigo ikajengwa those days.

Povu la Team Bandarini ntaoshea Maganda ya Muwa
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Itabidi kila mkoloni arudi kwenye koloni lake kuchukua alichoacha
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Pale Tundulu kuna boma lilijengwa na mjerumani, itabidi nae aje alichukue
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Aah kumbe Manara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.

bahati mbaya zaidi hao hao wajinga ndio pia hupata nafasi ya kuingia kwenye mifumo na kuleta disaster kana hizi tunazoona.

Kuna wakati huwa nafikiria inawezekana Taifa hili limetekwa na kuna outsider wanaocontrol mfumo huu kwa manufaa yao binafsi.
 
Ahamie huko aone, yeye ni Muarabu au Lah....ashukuru yupo Tanzania tunaheshimiana....huko hafurukuti.....Hata avae Kanzu ya aina gani!

Kuna umuhimu wa Bandari hii kubakia kwenye mikono ya Mwafrika ....kuondokana na hii mijeledi na mijambia ya
maneno.

Waafrika tumechoka kudhalilishwa na kunyanyaswa.

Ahamie huko!
 
Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.

Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Huyu alifukuzwa ccm kwa kashfa ya utapeli
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Nimekosa neno la kukuambia ila subiri nipate Kvant nitarudi
 
Back
Top Bottom