Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,678
Sijawahi skip|acha kusoma uzi wa Huyu bwana MshanaJr Hata akizungumzia kimba.
Sijawahi skip|acha kusoma uzi wa Huyu bwana MshanaJr Hata akizungumzia kimba.





Mazingira hayafananiDa...ila kwa sasa unavoshabikia hilo tundu na kuhimiza wanaume walitumie ili wanawake wao wapate shepu umesahau kuwa ni haramu?
Sent using Jamii Forums mobile app




Hapana,consinstency matters in the matter of earning respect.
SawaHapana,consinstency matters in the matter of earning respect.
Huwezi kuwa na ndimi mbili mbili.
Bilionea wa Nyasho unavitukoKwa nini wanadamu tunakichukia sana kinyesi chetu.
Mbona viumbe vingine kama ng'ombe na kuku na wadudu hawakichukii kinyesi chao.
Au ni biologically programmed ??
He he he heBilionea wa Nyasho unavituko
Huyu ni mheshimiwa Chungu.Habari bila picha ni sawa na mboga bila viungo vyote lakini mmh kwa habari hii picha zake zinaweza kuchafua hali ya hewa basi walau ngoja niweke hiiView attachment 359183
Ngoja nitulie takujibu kwa ufasaha moja baada ya nyingineDa mkuu nashukuru ka maelezo japo kwa nilichokishuhudia mimi hujakielezea.
1)Niliota ndoto niko bafuni naoga katika bafu chafuu yaani bovu bovu tuu halafu ghaflaa kutazama chini nikaona kuna mavi na inzi wapo kiasi Baada ya kuona tuu kisha ghaflaa nikashituka.
2)Nilikuwa kwenye bafu safii,full tiles mpaka ukutani. nikiwa bado naweka maji kwenye ndoo ili nioge ghafla kwenye ndoo naona kinyesi yaani kinyesi kabisaa. Nikasema hii kitu imetoka wapii,nikabeba ndoo nikaelekea kwenye choo ambacho kilikuwa kinajengwa,nikaenda kwenye tundu la kupitishia uchafu.
Ghaflaa nikaona mtu mwanamke amejifunga khanga yuko mabega wazi, anaingia humo chooni,nikamwambia kuna mtu usiingie lakini aliingia tuu kisha akiwa kama ananishangaa wakati namimina ule uchafu akaniuliza, "Hebu nielekeze unafanyajee fanyajee"..... Kisha nikazindukaa.
je,mkuu mshana,hapo kunanii???
sawa mkuu nipo hapa ninasubiriiNgoja nitulie takujibu kwa ufasaha moja baada ya nyingine
Gundu sio kiambishi,gundu ni nominoGundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu
Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho
Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha
Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake
Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga
NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya
Naanza kuona ukweli wa hayo usemayo miaka ya 2009 nilifungua biashara ya kuuza Gas za kupikia wakati ninaanza biashara ilikuwa nzuri sana nilianza na Mitungi 30 ikawa namaliza ndani ya siku 1 au 2 na ikafikia kipindi ili nisifukuze wateja wangu ilinilazimu nikiishiwa niwe nachukua Gas kwa wenzangu kwa bei ya reja reja wakati nasubiri Suppliers aniletee mzigo.Gundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu
Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho
Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha
Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake
Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga
NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya
Wabaya walikuwa hao majirani zako..next time usirudie kufanya hivyo tena..kama huna mzigo mwambie mteja ndio aende mwenyewe kwa jiraniNaanza kuona ukweli wa hayo usemayo miaka ya 2009 nilifungua biashara ya kuuza Gas za kupikia wakati ninaanza biashara ilikuwa nzuri sana nilianza na Mitungi 30 ikawa namaliza ndani ya siku 1 au 2 na ikafikia kipindi ili nisifukuze wateja wangu ilinilazimu nikiishiwa niwe nachukua Gas kwa wenzangu kwa bei ya reja reja wakati nasubiri Suppliers aniletee mzigo.
Mambo yaliharibika baada ya siku moja asubuhi wakati dada anaenda kufungua duka alikuta Kinyesi cha haja cha mtu mzima katikati ya mlango wa duka , toka hapo biashara ikawa ngumu na ndani ya miezi 3 nikafunga kabisa.