Gundu la kinyesi

Gundu la kinyesi

Mkuu mshana jr vipi kuhusu haja ndogo yaani mikojo! Kuna siku tuliikuta sebleni chini ya kiti tukajiuliza sana inakuwaje wakati ndani wote watu wazima hatukupata jibu hadi leo tuliishia kusafisha tu nayo inamahusiano na ushirikina?loh!
 
Mkuu mshana jr vipi kuhusu haja ndogo yaani mikojo! Kuna siku tuliikuta sebleni chini ya kiti tukajiuliza sana inakuwaje wakati ndani wote watu wazima hatukupata jibu hadi leo tuliishia kusafisha tu nayo inamahusiano na ushirikina?loh!
Hata hiyo kuna baadhi hutumia kama zana
 
Kwa nini wanadamu tunakichukia sana kinyesi chetu.

Mbona viumbe vingine kama ng'ombe na kuku na wadudu hawakichukii kinyesi chao.

Au ni biologically programmed ??
Mmmh asigwa hatukichukii ndio maana tunatumia gharama kubwa kukitunza kwenye makazi salama
 
Aisee! kuna siku ofisni kwetu alikuja dada mmoja na mkaa wote vijana ofisi ilikuw barabarani wakaja wakaomba kujisaidia, yule dada alisema amebanwa sana tukampa funguo choo kilikuwa nyuma ya ofisi, akenda akafanya yake akarudisha funguo huyo akaondoka, baadae nikawa nataka kwneda kujisaidia ile nafungua choo nakutaka na bonge la kimba moja refu limesimama pembeni ya choo maana choo ni cha kuchuchumaa, ajabu ni kuwa kuna maji na brush ya choo hata kama alikuwa amekosea kulenga ilikuwa vema kama angesafisha, mpaka leo hatukujua lengo la yule dada, sasa naanza kupata sababu, aisee watu wawili wazima wanasindikizana kufanya haya?! Nchi hii ngumu sana.
 
Aisee! kuna siku ofisni kwetu alikuja dada mmoja na mkaa wote vijana ofisi ilikuw barabarani wakaja wakaomba kujisaidia, yule dada alisema amebanwa sana tukampa funguo choo kilikuwa nyuma ya ofisi, akenda akafanya yake akarudisha funguo huyo akaondoka, baadae nikawa nataka kwneda kujisaidia ile nafungua choo nakutaka na bonge la kimba moja refu limesimama pembeni ya choo maana choo ni cha kuchuchumaa, ajabu ni kuwa kuna maji na brush ya choo hata kama alikuwa amekosea kulenga ilikuwa vema kama angesafisha, mpaka leo hatukujua lengo la yule dada, sasa naanza kupata sababu, aisee watu wawili wazima wanasindikizana kufanya haya?! Nchi hii ngumu sana.
... Ulikuta bonge la .....
 
Ni kweli kabisa, hii ilishamtokeaga mzee wangu kijijini, aliamka akukutana nalo mlangoni, waliomba Mungu na kila kitu kikawa shwari, ila tulikuja kumfahamu aliyefanya hiyo kitu, ni mzee mmoja aliyekuwa mshirikina sana.
 
Aisee! kuna siku ofisni kwetu alikuja dada mmoja na mkaa wote vijana ofisi ilikuw barabarani wakaja wakaomba kujisaidia, yule dada alisema amebanwa sana tukampa funguo choo kilikuwa nyuma ya ofisi, akenda akafanya yake akarudisha funguo huyo akaondoka, baadae nikawa nataka kwneda kujisaidia ile nafungua choo nakutaka na bonge la kimba moja refu limesimama pembeni ya choo maana choo ni cha kuchuchumaa, ajabu ni kuwa kuna maji na brush ya choo hata kama alikuwa amekosea kulenga ilikuwa vema kama angesafisha, mpaka leo hatukujua lengo la yule dada, sasa naanza kupata sababu, aisee watu wawili wazima wanasindikizana kufanya haya?! Nchi hii ngumu sana.
Hahhahahaaaa masharti ya mganga hayo
 
Hehehe kama haya mavi yanavyonuka kukimbiwa na watu basi flani bin flani yaye naye awe kama mavi. Heheh dunia ina mambo...laiti tungetambua yanayotokea uapnde wa pili tusingekaa hata dakika moja bila sala ya ulinzi kutoka kwa Mungu aliye hai.
Dunia sio kabisa tunaowazania ni watu Wema sio kabisa.
 
Ni kweli ndo maana kinyesi inzi anakifuata hata uwe kwenye pori gani au sehemu ambayo haina mdudu yeyote lakini punde ukimaliza kushusha utamwona inzi tayari kafika.
 
Back
Top Bottom