Gundu la kinyesi

Gundu la kinyesi

Hiyo picha !! Ameliumba kama tonge la ugali, hivi anapeleka wapi ? Au ni mazoezi ? Ujuzi wa kufinyanga kautoa wapi ? Mara nyingi nakutana nao nabaki kushangaa kazi ya mola. Hongera mtoa hoja . Biashara yako ikitiwa kimavi umekwisha, watu wataona fremu yako kama choo cha shimo kisichofanyiwa usafi.
 
Hiyo picha !! Ameliumba kama tonge la ugali, hivi anapeleka wapi ? Au ni mazoezi ? Ujuzi wa kufinyanga kautoa wapi ? Mara nyingi nakutana nao nabaki kushangaa kazi ya mola. Hongera mtoa hoja . Biashara yako ikitiwa kimavi umekwisha, watu wataona fremu yako kama choo cha shimo kisichofanyiwa usafi.
Hawa jamaa hicho ni chakula chao.. Kuviringa ni kurahisisha kukisafirisha mpaka sehemu salama ...! Ole wako ujaribu kumpora
JamiiForums968623686.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari bila picha ni sawa na mboga bila viungo vyote lakini mmh kwa habari hii picha zake zinaweza kuchafua hali ya hewa basi walau ngoja niweke hiiView attachment 359183
Mkuu umenikumbusha kipindi nipo darasa la sita, mwalimu wetu wa kiswahili alikua akiingia tu darasani baada ya salamu alikua akifuatisha na methali hizi"Zumbukulaaa? Na sie twamjibu, kimkundumkundu...anaendelea, ganda la muwa la janaaa? twamjibu Chungu kaona kivuno". Baada ya hapo ndio somo linaanza rasmi.
 
Mkuu umenikumbusha kipindi nipo darasa la sita, mwalimu wetu wa kiswahili alikua akiingia tu darasani baada ya salamu alikua akifuatisha na methali hizi"Zumbukulaaa? Na sie twamjibu, kimkundumkundu...anaendelea, ganda la muwa la janaaa? twamjibu Chungu kaona kivuno". Baada ya hapo ndio somo linaanza rasmi.
Zumbukulaaa? Na sie twamjibu, kimkundumkundu...
 
Mkuu umenikumbusha kipindi nipo darasa la sita, mwalimu wetu wa kiswahili alikua akiingia tu darasani baada ya salamu alikua akifuatisha na methali hizi"Zumbukulaaa? Na sie twamjibu, kimkundumkundu...anaendelea, ganda la muwa la janaaa? twamjibu Chungu kaona kivuno". Baada ya hapo ndio somo linaanza rasmi.
Teh teh teh hiyo methali ya Zumbukulaa ina maana gani Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zumbukulaaa? Na sie twamjibu, kimkundumkundu...
huyo bwana alikua Mwalimu wa michezo, alipenda sana mzaha na hasa ikizingatiwa kipindi hicho sheria mashuleni zilikuwa bado hazija changamka, angaweza kimwangalia mwanafunzi aliejazia makalio kisha akambeza"kikundu kama kijungu cha uketooo; na kinachofuatia hapo nikicheko.
 
huyo bwana alikua Mwalimu wa michezo, alipenda sana mzaha na hasa ikizingatiwa kipindi hicho sheria mashuleni zilikuwa bado hazija changamka, angaweza kimwangalia mwanafunzi aliejazia makalio kisha akambeza"kikundu kama kijungu cha uketooo; na kinachofuatia hapo nikicheko.
Huyu alikuwa mende
 
kamata hiko kinyesi weka majivu uone ka ajaja kwako kukuomba msamaha kwa muwasho atakaoupata huko kunduchi
 
kuna tofauti kati "Gundu la kinyesi" na "Damu ya kunguni"?
Damu ya kunguni ni kuchukiwa na watu lakini mambo yako yanaenda.. Gundu la kinyesi kila unachoshika hakiendi mwisho unaishia kuchukiwa
 
Gundu ni kiambishi cha kuelezea mambo kwenda mrama mambo kuharibika, mambo kutanzika! Hali ya kuchukiwa na hata kutengwa.
Kinyesi pamoja na kwamba ni samadi nzuri kikishaoza na uvundo kwisha lakini. ! ni makapi ya chochote ulichokula, yani mwili umeshachukua vyote vya maana kwahiyo hicho kilichobaki ni uchafu

Kinyesi ni kitu kingine kabisa licha ya uvundo wake lakini ukikikanyaga lazima uchechemee kama mtu aliyechomwa na mwiba..yani unapata hisia fulani mbaya kabisa akilini ukiwa umekikanyaga....na ndio maana hakuna nyumba inayokamilika bila kuwa na choo ya kuhifadhia hiyo kitu
Ukisikia mtu ana kimavi, muonee huruma maana ni mwendo wa mikosi mwanzo mwisho

Sasa hebu pata picha hii
Unaamka asubuhi na kukuta barazani kwako au getini kuna bonge la kimba! Unajiuliza na kutafakari mengi lakini unapuuzia na kufanya maarifa ya kusafirisha

Hii inaweza kutokea hata zaidi ya mara tatu na kudhani ni watu wakorofi au pengine wavuta bhangi....pole sana ni heri wawe ni hao kuliko kama ni mambo ya kishirikina..kwakuwa baada ya hapo kila kitu kitaanza kuyumba, vile watu wanavyokiogopa kinyesi na kujitenga nacho ndio hivyo hivyo nawe utakuwa
Ni mambo mabaya ya kishetani huja na madawa na manuizi ya uharibifu mbaya...na akimaliza huseta ukuta kwa makalio yake

Naamini wengi walishakutana na jambo kama hili kwa namna moja au nyingine na baada ya hapo ukaanza kukutana na milima na mabonde, hutakiwi kutafuta waganga wa kienyeji. ....kwa imani yako fanya utaratibu wa ibada ya kutakasa makazi. ..hiyo ndio dawa pekee ya kuweza kukuokoa na hili janga

NB: ushauri wa bure
Kama wewe si mpenzi wa hizi mada nakushauri upite kimya
Nilimfungulia wife biashara soon baada ya ndoa maana alikuwa bado mwanachuo kwakweli ilichanganya mpk mm nikajiuliza nilichelewa wapi kufanya hiyo kitu kabla,but all in sudden one beautiful morning tukakuta kimba la haja la mtu mzima usawa wa frame tunayofanyia biashara yaani nakuhakikishia hazikupita hata miezi 2 tukawa tayari tumefunga.
 
Nilimfungulia wife biashara soon baada ya ndoa maana alikuwa bado mwanachuo kwakweli ilichanganya mpk mm nikajiuliza nilichelewa wapi kufanya hiyo kitu kabla,but all in sudden one beautiful morning tukakuta kimba la haja la mtu mzima usawa wa frame tunayofanyia biashara yaani nakuhakikishia hazikupita hata miezi 2 tukawa tayari tumefunga.
Mungu wangu ilikuwa wapi na lini? If you can share.. Please!!!
 
Back
Top Bottom