Wanamageuzi amkeni M4C ndio kwanza inaanza hata kasi bado, hakuna kulala.. tumetoka AM sasa ni Arusha Mjini na hapa tutawaonyesha zaidi ya AM maana hakika hawataambulia kitu si kwa mabomu wala kwa wizi.. Rejao, Ritz, Ms, Ribosome, Pasco na wengine mpo/ Lianzisheni tena lakini ukweli mtaujua mwisho wa wakati.
CCM ingejua chaguzi ndogo ni kaburi lao ingejitahidi kuziepuka lakini ndio hivyo tena..