Godbless Lema avuliwa ubunge

Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
Lete uchaguzi mpya sie tuweke jembe jingine. Jimbo ni la CDM tu, no more!
 
Kazi kweli kweli, lakini haki huwa haipotei
 
sikudhani kama mahakama imeoza kiasi hiki cha kuamua kukataa mbunge halali
aliechaguliwa na wananchi kwa kura halali
kama suala la matusi basi kila mbunge alitukana mbona nao hawajapigwa chini?
hapa iko namna na nijuavo watu wa Arusha hakutakalika
Wasikate rufaa watashinda ila kwa sasa mahakama ndio imepoteza hadhi yake kabisa
jaji kama yule sikudhani kama hatatumia busara ya kujali chaguo la wananchi,kuangalia garama za kurudia uchaguzi ni kubwa sana ,jaji mzoefu hatumii sheria peke yake anaangalia vigezo kama hivo kutoa tathimini kama hali halisi ya uchumi na athari zake na pia anapima hasara
amejihabribia, kaharibu sifa ya mahakama na wananchi. shame on him
 
Kumbe na humu kuna wanasiasa uchwara, kila kitu kahongwa, hata kule kigoma alihongwa? Tukitaka mambo yaende vizuri hapa tufanye mjadala bila kuegemea upande mmoja.
 
Hawa ndo majaji walioteuliwa na kilaza kwa mkupuo. ni mazao ya wanyang'anyi. Utofauti wa kura kati ya Lema na yule Mama ni mkubwa muno na ambao Jaji angeweza kupima. But, kuna Polisi hapo Arusha alisema itamtia kidole. Ni aibu kwa Mahakama zetu kuwa kitengo cha matakwa ya wanasiasa. but, tuko ukingoni mwa ukombozi wa taifa letu.
 
Wanamageuzi amkeni M4C ndio kwanza inaanza hata kasi bado, hakuna kulala.. tumetoka AM sasa ni Arusha Mjini na hapa tutawaonyesha zaidi ya AM maana hakika hawataambulia kitu si kwa mabomu wala kwa wizi.. Rejao, Ritz, Ms, Ribosome, Pasco na wengine mpo/ Lianzisheni tena lakini ukweli mtaujua mwisho wa wakati.

CCM ingejua chaguzi ndogo ni kaburi lao ingejitahidi kuziepuka lakini ndio hivyo tena..
 
Wana jf lema kavuliwa ubunge . Ila anaruhusiwa kugombea tena hivyo tumwite mbunge mteule kwani ccm hawana chao tena.
 
Lema anatemeba kwa miguu anaelekea Ngarenaro kuongea na wananchi
 
  • Thanks
Reactions: FJM
magamba wameamua kutumia mahakama kupunguza nguvu ya upinzani bungeni haina shaka ngoja tusubiri uchaguzi lazima wagalagazwe kama arumeru
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom