Dereva wa Kirikuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 751
- 625
Hivi nyie ma-atheist mbona sijawahi kuwasikia hata siku moja mkimpinga Shetani?
Unajua mnajivimbisha vichwa vyenu kujifanya mna akili sana kumbe hakuna kitu.
Hebu niambie, majini (Jini) ni nini na asili yake in ipi?
Mtu mweusi anastaajabisha sana. Ni rahisi kwake kuiga Imani ya mtu mweupe kuliko kuiga mambo yenye faida mf. Teknolojia toka kwa mtu mweupe.
Ni ushamba unawasumbua na sio kingine.
Shetani hajikwezi kipuzii..
Nae pia haexist zaidi ya imagination ndani ya vichwa vya binadamu vilivyojazwa ujinga na woga hasa na huyo mungu wenu