God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

wewe pia si mke au

Sio mkeo!
1592852159256.png
 
yaan mnakubali habali za galileo na isac newton af unakataa yesu alikuwako... jaribu kutafuta source zingine nje na biblia uone zinasema nn kuhusu yesu ...af uje


Nje ya biblia, SOURCE zingine zinasema kuwa:
1 Jesus was a human being not son of God from heaven.
2 Jesus was apiritual leader like Mohammad (SAW), BUDHA etc.

3 Jesus was married and had kids.
 
Huyo Mungu wa kwenye maandiko sio MUNGU Muumba, huyo Ni Muungu.
MUNGU GANI..
1 ana mikono
2 Ana miguu
3 Ana macho
4 Ana mdomo
5 Ana hasira
6 Ana wivu

mnaabudu muungu nyie!!

Ukitaka kumuelewa Mungu, mtathimini in terms of LIFE FORCE (energy) WITH HIGHEST COUNSCIOUSNESS, bila, macho, mikono, mdomo, akili wala sifa yyte ya kuwa kiumbe, lkn inaumba na kufanya maisha yawepo kwa CONSCIOUSNESS tu.

For example, consider the energy (life force) from the sun, hiyo energy ndo source ya energy zote duniani kote, and STARS ndo source ya energy and life force in the whole universe.


Then the question comes,

ARE THE STARS ( sun in particular) THE SOURCE OF THIS LIFE FORCE IN ITSELF OR IT (star/sun) IS JUST THE MEDIUM OF PASSING THAT LIFE FORCE FROM SOMEWHERE TO US?????

IF IT IS JUST THE MEDIUM, DO YOU THINK THIS LIFE FORCE IS FROM SOMETHING HAVING EYES, FEET, HEAD, MOUTH, ie THE CREATURE LIKE BEING?????.......?????????
 
Remove the Sun in our solar system, everything collapses and no life anymore

Remove the Stars in the universe, everything collapses.

But the question remains..

Are these STARS the source of this life force in themselves; or this life force is from somewhere beyond stars and pass through the Stars to us??

Na kuanzia Leo uelewe kuwa, THE PRIMARY PURPOSE OF EARTH ROTATION IS NOT TO CAUSE DAY AND NIGHT..

THE PRIMARY PURPOSE OF EARTH ROTATION IS TO ENSURE THAT EVERY SIDE OF THE EATH GETS THAT LIFE FORCE (ENERGY) FROM THE SUN.

NI sawa na vile unavyougeuza geuza mhindi ili kila upande upate joto la Moto ili uive pande zote.

There is life force (energy) with highest consciousness wich is the source of life and perpetuates life, SIO HUYO muungu Wenu wa kwenye vitabu mwenye sifa zote za kuwa kiumbe mnaemwabudu, huyo Ni muungu.

Ukijua maana halisi ya MUNGU, hata namna ya kusali utapadilisha, maana HII LIFE FORCE/ENERGY doesn't hear nor does it recognize your words of mouth, rather it recognizes your feeling, attitude and emotions.
 
Tatizo humu ndani WATU WANAJADILI KIPOPOMA POPOMA, NARUDIA TENA, WATU NI MAPOPOMA.

★WANAOAMINI UWEPO WA MUNGU NI MAPOPOMA.
★NA WALE WASIOAMINI UWEPO WA MUNGU NAO NI MAPOPOMA VILE VILE

kila mtu badala ajenge hoja, anavutia upande wake kwa kuongozwa na hisia,mihemko na pre-conceived perceptions. Hamuwezi kujadili mkiwa nyutro (neutral)??? Mjenge hoja za kueleweka??

Kwa mfano, WASIOAMINI UWEPO WA MUNGU MTWAMBIE UHAI ULITOKA WAPI??? mmkiulizwa mnaruka ruka tu na kukwepa maswali, utasikia NINI MAANA YA...UNAELEWA NINI KUHUSU...UNAMAMISHA NINI UNAPOSEMA...msikwepe maswali, jibuni maswali popoma nyie.

NA WALE WANAOAMINI UWEPO WA MUNGU (WA KWENYE VITABU) mjibu maswali Kama yanavyoulizwa, sio mnaruka ruka tu, popoma nyie.

Huyo Mungu wa kwnye biblia, ameshindwa kumuua shetani ili kuondoa shida zote???

Mungu wenu anaweza yote, anaweza KUSEMA TU (kwa kuwa mungu wenu ana mdomo) NAAMURU SHETANI ANGAMIA, TEKETEA KUANZIA MUDA HUU, NAKUFUTILIA MBALI MILELE NA MILELE USIWEPO TENA WATU WANGU WANIABUDU KWA MAISHA YAO YOTE.

ila Sasa, badala yake, KUANZIA PALE EDENI Mungu mwenyewe alishindwa kumuua kwa mikono yake mwenyewe wakati alikuwa na uwezo wa kumkamata na kumfutilia mbali.

Akaamua kutumia gharama ya kumtuma Yesu aje duniani, IKACHUKUA MIAKA 30+, Cha ajabu Sasa, kwa miaka yote hiyo eti mission ilikuwa kumnyang'anya ufunguo shetani, SERIOUS????

Niltgemea labda Yesu angekuja kumuangamiza shetani kabisa, futilia mbali hukoo..eti akazama kuzimu, akasota siku sijui 3, yote hayo kwa lengo la lupokonya ka ufunguo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

MASWALI

1 Je, ardhi ina mlango, komeo na kufuli??
2 toka shetani apokonywe ufunguo kumekuwa na unafuta gani katika maisha ya maanadamu??
3 Ni ukombozi gani aliouleta huyo yes wenu kwa mwanadamu kiafya, kiimani (kutotenda dhambi) na kiamani (kaleta amani duniani)????
 
Huyo Mungu wa kwenye maandiko sio MUNGU Muumba, huyo Ni Muungu.
MUNGU GANI..
1 ana mikono
2 Ana miguu
3 Ana macho
4 Ana mdomo
5 Ana hasira
6 Ana wivu
Mungu muumba ana sifa gani ? Au alipaswa awaje na utuambie umejuaje hilo ?
 
mnaabudu muungu nyie!!
Hili neno "muungu" umelipata wapi na nani katika wasomi wa lugha amekutangulia katika kutumia hili neno ? Au unafikiri Elimu ni kama kupiga kura za veto au maoni kwa kila anaye jiamulia au kujisikia ?
Na kuanzia Leo uelewe kuwa, THE PRIMARY PURPOSE OF EARTH ROTATION IS NOT TO CAUSE DAY AND NIGHT..

THE PRIMARY PURPOSE OF EARTH ROTATION IS TO ENSURE THAT EVERY SIDE OF THE EATH GETS THAT LIFE FORCE
Kwanza naomba ututhibitishie kisayansi uwepo wa Earth Rotation na utuambie ni jaribio gani lilifanyika kuthibitisha hilo.
 
Ukitaka kumuelewa Mungu, mtathimini in terms of LIFE FORCE (energy) WITH HIGHEST COUNSCIOUSNESS, bila, macho, mikono, mdomo, akili wala sifa yyte ya kuwa kiumbe, lkn inaumba na kufanya maisha yawepo kwa CONSCIOUSNESS tu.
Ila sijawahi kuona watu wenye kufikiri kitoto na kijinga wewe na wakubwa zako, hata ala za kumfanya mtu afikirie huzijui.

Kipi nje ta akili, moyo, milango ya fahamu, ufunuo, mazingira kinakufanya wewe ufikirie ukikitaja nje ya hivyo unavyo vikataa, naacha kutumia hii Id.

Naomba uniambie jambo moja nani anamfananisha Mola na kiumbe. ? Hili suala la sifa za Muumba, zinataka shule ukitaka kuona kwamba hujui hilo, leo nataka nikuonyeshe, mathalani Mola wety muumba ana mikono miwili yote ipo upande wa kuumeni, sasa swali rahisi, Birika lina mkono je mkono wako na mkono wa birika vinafanana. ?

Tunaposema Mola ana mikono, ujue ni mikono ambayo haifanani na ya kiumbe chochote, sasa unapo mlinganisha na kiumbe wakati hafanani na kiumbe huku ni kukataa matumizi ya akili na kuamua kuwa kipofu wa akili na moyo.
 
Nje ya biblia, SOURCE zingine zinasema kuwa:
1 Jesus was a human being not son of God from heaven.
2 Jesus was apiritual leader like Mohammad (SAW), BUDHA etc.

3 Jesus was married and had kids.
Upeo wako ndio umeishia hapo?
 
For example, consider the energy (life force) from the sun, hiyo energy ndo source ya energy zote duniani kote, and STARS ndo source ya energy and life force in the whole universe.
Nani alikwambia "Energy" ndiyo Life ?

Nitakuuliza umejuaje hilo wakatu jua halijawahi kutokuwepo ? Acheni kuwalisha watu ujinga wenu ambao unaonyesha ugonjwa wa akili, hapa hata niwape miaka kumi bali mpaka mnakufa huwezi kututhibitishia ya kuwa Jua ni chanzo cha maisha au kinafanya uhai uwepo, wakatu Uhai ni kiumbe na Jua kadhalika ns kiumbe, na Jua lipo halijawahi kutokuwepo,shidani moja mawazo yenu ya kijinga ndiyo mnayafanya yawe au kuyaita "Facts".

Kitu kingine nilichokiona kwako ni kuwa unekariri msamiati toka kwa wakubwa zenu bila kuelewa. Hili tatizo.
 
Tatizo humu ndani WATU WANAJADILI KIPOPOMA POPOMA, NARUDIA TENA, WATU NI MAPOPOMA.
Nimecheka sana, kiukweli wewe ndiyo unajadili kipopoma, kwa sababu zifuatazo :
1. Humjui unaye mjadili, kwahiyo suala la kupatia liondoe kabisa.
2. Unatumia dhana kuelezea uhalisia ambao hamjawahi kuudiriki kwa njia mnazo tumia.
★WANAOAMINI UWEPO WA MUNGU NI MAPOPOMA.
★NA WALE WASIOAMINI UWEPO WA MUNGU NAO NI MAPOPOMA VILE VILE
Wewe upo wapi ?
Ukisema haupo popote sasa wewe ndiyo utakuwa Muongo na Mpumbavu, sababu jambo hili lina pande mbili, na mtu anae jidai anajua na hajui kama hajui, huyu huitwa MPUMBAVU.
 
Nimecheka sana, kiukweli wewe ndiyo unajadili kipopoma, kwa sababu zifuatazo :
1. Humjui unaye mjadili, kwahiyo suala la kupatia liondoe kabisa.
2. Unatumia dhana kuelezea uhalisia ambao hamjawahi kuudiriki kwa njia mnazo tumia.

Wewe upo wapi ?
Ukisema haupo popote sasa wewe ndiyo utakuwa Muongo na Mpumbavu, sababu jambo hili lina pande mbili, na mtu anae jidai anajua na hajui kama hajui, huyu huitwa MPUMBAVU.


Ona hii nguruwe!!!!

Umesoma post zangu vzr??

By the way, siwezi kuhangaika na ww, kila uzo unacomment UHARO
 
Jurjani najua imekuingia unabaki unatapa tapa tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom