empty mind
Member
- Oct 27, 2018
- 61
- 27
Kiranga
Mbabaishaji ameanza swaga zake, huwa anakimbia maswali kwa kuleta hoja kwenye swali badala ya kujibu, hata siku moja swali halijibiwi kwa swali, kama hujui sema sijuiHujauliza swali.
Umeshindwa kuuliza swali.
Hata swali lako mwenyewe hulijui.
Ndiyo maana nilipokuomba ufafanuzi, umeshindwa kulifafanua.
Kama sivyo, fafanua swali lako kwa mujibu wa nilivyolihoji.