God was created when the first con-man met the first fool

Kiranga
Hujauliza swali.

Umeshindwa kuuliza swali.

Hata swali lako mwenyewe hulijui.

Ndiyo maana nilipokuomba ufafanuzi, umeshindwa kulifafanua.

Kama sivyo, fafanua swali lako kwa mujibu wa nilivyolihoji.
Mbabaishaji ameanza swaga zake, huwa anakimbia maswali kwa kuleta hoja kwenye swali badala ya kujibu, hata siku moja swali halijibiwi kwa swali, kama hujui sema sijui
 
Wewe mweusi mwenzangu unamjulia wapi yesu..Wayaudi wenyewe hawamtambui..

Mmelishwa ujinga na nyinyi mnakesha mnaomba kwa jina la kitu kisicho exist. Utumwa wa dini unawalemaza na kuwajaza ujinga
vip unaweza prove kwamba hakuwepo??//

unafaham kwanini tunatumia BC NA AC KUWAKILISHA MIAKA???
 
Kwahio mkuu Mungu wako ni mungu wa vitu visivyojulikana ( god of the unknown)
Kwamba mungu anakuwepo sehemu yenye gap ya knowledge..

Sehemu ambapo vitu tunaweza kutengeneza na kuexplain hakuna mungu
KITU GAN UNAWEZA KUELEZEA KWA 100%% NIPE MFANO
 
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Siku uumwe hata tumbo la kuhara tu, utasali sala zote.
 
Mifano michache:-

Mnara wa Paris:-
Hivi, ukiuangalia ule mnara, ukatafakari, je unaweza kuja na jibu kwamba UMETOKEA TU WENYEWE? (Kuna (w)aliye utengeneza)

Majani ya mmea:-
Chunguza structure ya majani ya mmea, anagalia 'perfect engineering' hapo, Je unadhani umejiotea tu bila mpangilio wa aliyepanga?

Wanyama na rangi (mapambo) yao:-
Unadhani, rangi na mapambo ya wanayama, yaliyopambwa kwa ustadi mkubwa imetokea tu bila aliyefanya iwe hivyo?

Wadudu na mpangilio wa rangi zao:-
Hivi huoni kwamba kuna kazi iliyifanywa na nguvu fulani na siyo wamejitikeza tu?

Skeletons:-
Hivi umejaribu kuchunguza mahesabu ya skeleton yoyote? Mpangilio ulio perfect?

Achilia mbali blood streams, nerves na musles! Umejaribu kuchunguza mpangilo wake, nani amefanya hivyo?

Pumzi:-
Jiulize, hiyi nguvu inayokufanya upumue unaitoa wapi, jiulize jinsi unavyo 'extract' hewa ya oksijen kutoka hewa zingine (very complex phenomena), lakini unachukulia 'easy' tu.

Waidhika ndugu
Anayefanya vyote hivyo yupo!

Mifano ipo mingi, hata ngozi yako tu (skin layers) mpangilio wake ni 'kipengele'.

Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo, vinavyo onekana na visivyo onekana, tunavyo vijuwa na tusivyo vijuwa, YUPO.

Halali, wala kusinzia hakumpati, yupo, wa kudumu, alpha na omega.
 
Siku uumwe hata tumbo la kuhara tu, utasali sala zote.
Kuumwa ni ushahidi kwamba Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, kungekuwa hakuna kuumwa kwa sababu Mungu huyo ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao kuumwa hakuwezekani.

Unaelewa hiyo?
 
Mifano michache:-

Mnara wa Paris:-
Hivi, ukiuangalia ule mnala, ukatafakari, je unaweza kuja na jibu kwamba UMETOKEA TU WENYEWE? (Kuna (w)aliye utengeneza)

Majani ya mmea:-
Chunguza structure ya manani ya mmea, anagalia 'perfect engineering' hapo, Je unadhani umejiotea tu bila mpangilio wa aliyepanga?

Wanyama na rangi (mapambo) yao:-
Unadhani, rangi na mapambo ya wanayama, yaliyopambwa kwa ustadi mkubwa imetokea tu bila aliyefanya iwe hivyo?

Wadudu na mpangilio wa rangi zao:-
Hivi huoni kwamba kuna kazi iliyifanywa na nguvu fulani na siyo wamejitikeza tu?

Skeletons:-
Hivi umejaribu kuchunguza mahesabu ya skeleton yoyote? Mpangilio ulio perfect?

Achilia mbali blood streams, nerves na musles! Umejaribu kuchunguza mpangilo wake, nani amefanya hivyo?

Pumzi:-
Jiulize, hiyi nguvu inayokufanya upumue unaitoa wapi, jiulize jinsi unavyo 'extract' hewa ya oksijen kutoka hewa zingine (very complex phenomena), lakini unachukulia 'easy' tu.

Waidhika ndugu
Anayefanya vyote hivyo yupo!

Mifano ipo mingi, hata ngozi yako tu (skin layers) mpangilio wake ni 'kipengele'.

Mwenyezi Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo, vinavyo onekana na visivyo onekana, tunavyo vijuwa na tusivyo vijuwa, YUPO.

Halali, wala kusinzia hakumpati, yupo, wa kudumu, alpha na omega.
Unaelewa "logical non sequitur" ni nini?

Unaelewa kwamba ukisema kitu kilicho complex hakiwezi kutokea chenyewe, ni lazima kiwe na muumba mwenye uwezo mkubwa zaidi, kimsingi unasema Mungu muumba vyote hayupo?

Unaelewa kwamba kama kila kilicho complex kinahitaji muumba, hata Mungu naye atahitaji muumba, na huyo muumba wake atahitaji muumba, na huyo muumba wa muumba wake atahitaji muumba, ad nauseam, ad infinitum?

Unaelewa hayo?
 
wewe zwazwa kweli hiyo namba kumi na framework ndiyo nn wewe umesema mungu hayupo sasa tengeneza framework inayopinga kuweli
Wewe nyungunyungu usiye na ubongo wala uti wa mgongo hata framework unayoitaja ukiiona utaijua?
 
Ukikaa mahali kimyaaaa ukatumia ufahamu wako ukajiuliza maswali kama:-

1. NANI KATENGEZA NISHATI YA JUA
Huwezi kuuliza swali kwa kujilengeshea jibu lako lililo mfukoni ("nani") kwa jambo ambalo hulijui. Ikiwa jambo hilo limesababishwa na kitu kisicho wakiliswa na "nani", swali lako litakua na mantiki gani?
2.WANASCIENCE WANASEMA JUA LINA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA BILIONI 4 SWALI KWANINI NISHATI YAKE HAIISHI NGUVU?
kwani kila jambo ni lazima liwe na kinyume chake??? Ukisema hivyo namimi nitakuuliza bahari ya hindi mbona haijakauka wakati kila siku jua linawaka?


3. NANI KATENGENEZA SAYARI IKIWEMO DUNIA AMBAZO ZIMEELEA TUU KWA NGUVU YA UVUTANO
msingi mbovu wa maswali yako hauwezi kutoa jibu la hakika kwasababu umejilengesha kwenye jibu unalolitaka "nani"

4. NANI KAMTENGENEZA BINADAMU KWA UPEKEE AKAMPA AKILI KUBWA YA KUISHI NA KUUNDA VITU
Ukianza kuuliza kwa minajili ya "nani" mi pia naweza nikakuongezea swali kua ni nani aliyemuumba muumbaji wa binadamu

AISEE KUNA NGUVU IPO MAHALI AMBAYO IMEFANYA MAMBO YOTE HAYA.
Hiyo nguvu imejileta yenyewe su nayo kuna kilichosababisha nguvu hiyo ikawepo??
AMINI HIYO NGUVU IPO, UFE UIKOSE KULIKO KUTOAMINI HAIPO UKASHTUKIE UKO MBELE YA WAZEE 24, KATIKATI YAO KUNA MZEE WA SIKU NYINGI
Mwishoni umemaliza vibaya kwa "betting trick". Watu wengi humu mnaonesha hamna uhakika na kitu mnachokisema kipo na ndio maana mnaleta habari za pata potea humu.

Bora uamini lipuli atamfunga barca goli 8 bila uuze mali zako zote pamoja na nyumba yako pesa utayoipata m'betie lipuli mkeka ukitiki uibuke bilionea, kuliko kupuuza halafu ukambetia barca halafu akakuchania mkeka
 
Hivyo vitu utakavyojinyima ni kwa faida yangu na maisha yangu.
kama vina hasara alishindwa mungu kuvitoa mpaka akusisitizie kwenye vitabu vyake kua uviepuke??
1. Usizini - faida unauepusha mwili wako kwa magonjwa na migogoro.
Uzinifu ulianza kabla ya biblia kuwepo, biblia imekuja kuandika kitu ambacho imekikuta. Sasa watu walioishi kabla ya biblia kuwepo waliepuka vipi hili jambo? kama hawakuweza kwanini mungu hakuwapa elimu hii ili wapate faida watu wake? Kama waliweza kuepuka, biblia ilikuja kuandika katazo hili kwa dhumuni lipi? wakati watu waliweza kuepuka bila msaada wa maandishi hayo?

2. Usiue - sio utu na uungwana kuondoa maisha ya binadamu mwenzako, pengine anafamilia inayomtegemea mbaya zaidi utaadhibiwa na sheria za nchi wakati na wewe unategemewa na ndugu zako
Kuua kulikuwepo kabla ya biblia haijaandikwa, mvunjaji wa sheria hii kwanza ni mungu mwenyewe aliyewapa sheria hiyo kua usiue halafu yeye mwenyewe akaua maelfu kwa maji na moto (hapa hata yeye alijutia kua hatateketeza tena ulimwengu kwa moto) kwaiyo mizani yetu ya uungwana inatuambia Mungu si muungwana kaangamiza maelfu kwa ukatili ambao hata yeye alijutia.

Pili mungu huyu tunaona anavunja sheria kwa kuua hadi vitoto vichanga katika vitabu vyake alivyokua anatoa adhabu ya kuua kila mtoto katika nchi ya misri kwa watu ambao hawakupaka damu ya kondoo kwenye milango yao ili kumkomoa farao katika yale mapigo kumi. Huu ukatili ukionekana umefanywa na binadamu kila mtu hatapendezewa nao ila kafanya mungu watu bado wanamtolea na sadaka

3. Usiibe - Mwenzako ametafuta mali yake kwa jasho kwanini unaiba sasa, kufuata hii amri au katazo litakusaidia usiuwawe au kuumizwa kwenye wizi na usimrudishe nyuma kimaendeleo yule unayemuibia.
Kuiba kulikuwepo hata kabla biblia haijaandikwa. Mfano mdogo mababu zetu ambao walikua wakiishi bila biblia waliweza kupata maadili mazuri bila kutegemea hizi riwaya. Mababu zetu waliweza kujua kua wizi ni jambo baya bila hata kusoma vitabuni, sasa unavyoleta nukuu kutoka vitabuni unamaanisha bila kuandikwa jambo hilo humo lisingewezwa kuchukuliwa kwamba jambo baya??

4. Waheshimu baba na mama yako:- ni jambo jema kuwaheshimu wazazi wetu kwa kutuleta duniani na kutulea na kutuongoza katika njia ipasayo. Usipowaheshimu utakosa mawaidha, busara zao na mafundisho yao kwako.

Kwanza swala la heshima halitakiwi liwe na mipaka, kwamba watu fulani tu ndio waeshimiwe afu wao wasiheshimu wengine

Kuna habari kua kuna mzee nuhu alikunywa pombe akalewa akakaa vibaya (uchi) mtoto wake mmoja alivyomuona akamcheka baba yake wenzake walivyomuona baba yake katika hali hiyo wakamsitiri baba yao, baba huyo baada ya pombe kumtoka akampa laana huyo mtoto kwa kosa la kumcheka. Sasa hapo nani hana heshima kati ya baba na mtoto?? Pili vigezo gani Mungu alitumia kuiruhusu laana hiyo imfike huyo mtoto???
Jibu ni baba ndiye hana heshima huwezi ukanywa konyagi bila kula halafu ukalewa ukakaa m@tko wazi utegemee mtoto asicheke, mtoto hana kosa kwasababu tunaweza kusema ni akili za kitoto tu
hii pia inaleta ukakasi sana. Biblia imesema adam na eva walikua na watoto wawili ambao wote ni wakiume, so dunia nzima ilikua na jumla ya idadi ya watu wanne yaani mwanamke mmoja wanaume wa tatu. Huyu mmoja akafa yule mwingine akaoa na kuzaa watoto sasa hapa huoni kwamba alilala na mama yake?? Heshima gani hiyo ya kulalana ndugu kwa ndugu??

5. Usimtamani mke wa jirani yako, Ng'ombe wake:- hili katazo linakuepusha na migogoro na jirani yako, linakuepisha na kwenda kuuwawa au kuumizwa au kushtakiwa na serikali kwenye wizi wa mali ya jirani yako.
tamaa mbaya eh?? Mbona mungu naye anawivu anatamani aabudiwe yeye tu hii kwako imekaaje??

Kwahiyo hata kama huamini Mungu lakini kuwepo kwa hizi sheria zake na nyingine kwako ni faida na si hasara
kwanza kabisa kuwapo kwa hizi sheria si kwamba taratibu hizi si kwamba zinafatwa kwasababu biblia imeandika, hapana. Nataka nikuambie kwamba biblia imekuja imekuta watu wakiendelea kuepuka mambo hayo. Makatazo au mahalalisho ya vitu havitegemei permit kutoka kwenye biblia ili lionekane jambo zuri au baya kwa jamii. Mbona biblia haija orodhesha makosa ya cyber criminals watu wana crack na ku hack vitu utatumia sheria ipi katika biblia kukataza jambo hili??
 
Kwetu uchagani miaka ya nyuma sana kabla ya wamisionari kuingia na kutangaza dini na kuileta biblia, wale wazee wa kichaga walikuwa wanaamini kuna nguvu iko mahali anaitwa Ruwa.

Walikuwa wanaamini Hii nguvu ukiiomba chochote inakupa kama kunyesha nchi mvua, kuepusha magonjwa na balaa.

Na wachaga kipindi hicho walikuwa na utaratibu wa kukutana chini ya mti mkubwa kuchinja mbuzi na kumwaga pombe ya mbege na kumuomba Ruwa awasaidie katika mambo mbalimbali

Wamisionari walivyokuja wakatangaza na kushawishi huyo Ruwa mnayemuomba ni Mungu, wakafundishwa neno la Mungu na maandiko ya biblia.

Mpaka sasa hivi Mungu anaitwa Ruwa lakini Ruwa original alikuwa Mungu wa wachaga nguvu isiyoonekana inayotenda makuu.
Kabla ya kuja hizi dini mababu zetu walikua wanaabudu mizimu, hawakumjua mungu huyu mpaka walipoletewa na wazungu pamoja na waarab
 
Back
Top Bottom