Fundisanifu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 515
- 625
kwahyo sisi wanadamu hatuna akili tuna ubongo tu!!..
ndo tafsir nnayopata hapa ukirelate na hzo theory zako za astheism.
ndo tafsir nnayopata hapa ukirelate na hzo theory zako za astheism.
Can you prove that illusion bro??The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.
Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..
Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..
Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Hahaha kikingine kipi bro.?? Toa mfano bas wa icho kingine..kwa mfano....Wame fail wapi?...Hata fundamentals za Modern Physics unazifahamu wewe?
Na hio First cause kwanini iwe ni Mungu Tena Specific God with Human attributes?....Kwanini kisiwe kingine
Ndio swali langu linauliza hapo kwanini hiyo hali iendelee kuwepo hadi leo? ni kwamba hadi sasa hakuna aliyeweza kujibu hayo maswali magumu na ndiyo maana hadi leo bado wanaendelea tu kuamini Mungu?Jibu ni Rahisi tu..!
God ni simple answer ya swali lolote Lile
So wajinga wengi wanakimbilia hapo kujibu maswali magumu
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.
Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..
Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..
Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Sawa acha sisi tuamini hivyo hivyoThe belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.
Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..
Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..
Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
"Ukweli" bila framework hauwezi kujulikana.Kinachofanya huo uongo wa kuwepo Mungu udumu hadi leo ni nini? ni wazi inaonekana hadi leo kumekosekana ukweli wa kuweza kuondoa huu uongo na ndiyo maana hadi leo huo uongo bado upo kwa maana ukweli bado haujajulikana.
In logic and evidence we trustIN GOD WE TRUST
Kiranga is back"Ukweli" bila framework hauwezi kujulikana.
Kwa sababu
1. Ukweli unategemea framework.
2. Mambo yanabadilika na muda.
3.Mchakato wenyewe wa kutafuta ukweli unabadilisha ukweli.
4.Ukweli mmoja unategemea ukweli mwingine ili kuuthibitisha
5. Hakuna ukweli unaosimama bila makisio ambayo hayajathibitishwa.
Ndiyo maana, tukiongelea ukweli, ni lazima tuongelee framework, assumptions na margin of error.
Kwa mfano
Namba kumi katika framework ya decimal system ni 10.
Lakini, ukitaka kuandika namba kumi katika binary system, huandiki 10, unaandika 1010.
Sasa mtu akikuuliza, kwa ukweli, namba kumi kitarakimu inaandikwaje?
Bila kujau framework, unaweza kuandika 10, kumbe mtu anataka kuandika machine language code za computer, na kwa binary code, kumi inaandikwa 1010.
Na hiyo hiyo namba kumi katika hexadecimal framework inaandikwa A.
Sasa bila framework, kumi kuiandika ni vigumu, maana anayeandika 10 yuko sawa, anayeandika 1010 yuko sawa, na anayeandika A yuko sawa.
Kutegemea na framework.
Niambie kaka.Kiranga is back
Umetishaa sana,hakika ukimya wako ulileta ombwe kubwa sanaNiambie kaka.
It's the return of the prodigal son
The rerun of the profligate Khan, Don
Ayatollah of atheism, JF my Iran
I Ebola the catechism, they better run
Kuna wakati wa kusema, na wakati wa kusoma.Umetishaa sana,hakika ukimya wako ulileta ombwe kubwa sana
True storyKuna wakati wa kusema, na wakati wa kusoma.
Watu wakajua umekufa au umeanza kumwamin munguKuna wakati wa kusema, na wakati wa kusoma.
Tupo pamoja mkuuSio kwamba Mungu hayupo, hata wewe pia ni Mungu. Shida inakuja vile tunavyomchukulia huyu Mungu sijui kumwabudu, kumsifu kumtolea sadaka n.k hapa ndipo tulipologwa na wazungu. Hakuna Mungu wa aina hiyo Mungu ni Mimi na wewe yaani sisi ni Mungu.
Wanga tu hao wanataka kunila nyama kwenye ngoma ya Mahepe.Watu wakajua umekufa au umeanza kumwamin mungu
Sio kwamba Mungu hayupo, hata wewe pia ni Mungu. Shida inakuja vile tunavyomchukulia huyu Mungu sijui kumwabudu, kumsifu kumtolea sadaka n.k hapa ndipo tulipologwa na wazungu. Hakuna Mungu wa aina hiyo Mungu ni Mimi na wewe yaani sisi ni Mungu.
wanasayans wakubwa kama sir isac newotn wakin plancks wanaamini kuna Mungu ..sasa kuna walevi wametoka wapi sijui et wana pinga.... ngoja nikuulize swali unaamini yesu aliishi hapa duniani??/Sio kwamba Mungu hayupo, hata wewe pia ni Mungu. Shida inakuja vile tunavyomchukulia huyu Mungu sijui kumwabudu, kumsifu kumtolea sadaka n.k hapa ndipo tulipologwa na wazungu. Hakuna Mungu wa aina hiyo Mungu ni Mimi na wewe yaani sisi ni Mungu.