God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

Mungu amekuumba na Uhuru wa kuchagua.
Sisi sio ROBOTS .
una hiari ya kufanya yalio sawa au kwenda kinyume na nayo.
Sasa vipi umlaumu Mungu kwa maamuzi yako binafsi?
Sijaona aina yeyote ya uhuru kwenye eneo lilobana namna hii_watu wanazidi kuongezeka duniani mali asili zinazidi kwisha tunagombania sasa.! wakati sayari nyingine zipo tupu.!

Halafu bado kaweka viwango vyake binafsi tumtimizie kwenye mminyano namna hii
 
Sijaona aina yeyote ya uhuru kwenye eneo lilobana namna hii_watu wanazidi kuongezeka duniani mali asili zinazidi kwisha tunagombania sasa.! wakati sayari nyingine zipo tupu.!

Halafu bado kaweka viwango vyake binafsi tumtimizie kwenye mminyano namna hii
Hizo ni fikra zako binafsi na propaganda za baadhi ya watu wenye malengo tofauti bro.

Leo kuna Binaadamu Zaidi ya Bilion 7 lkn kipande cha ardhi ambacho asilimia 95% ya wanaadamu tuliopo tunakitumia ktk Dunia hii ni ASILIMIA 10% TU ya ardhi iliopo DUNIANI.
ASILIMIA 90% iko wazi .
Tunabanana kwa tamaa zetu na sababu zingine BINAFSI

Sasa kiuhalisia nashangaa sana kusikia watu wanalalamika na kuuana kuhusu ardhi na Mali asili wakati Ulimwengu bado tupu kabisa.

Source.

 
Hizo ni fikra zako binafsi na propaganda za baadhi ya watu wenye malengo tofauti bro.

Leo kuna Binaadamu Zaidi ya Bilion 7 lkn kipande cha ardhi ambacho asilimia 95% ya wanaadamu tuliopo tunakitumia ktk Dunia hii ni ASILIMIA 10% TU ya ardhi iliopo DUNIANI.
ASILIMIA 90% iko wazi .
Tunabanana kwa tamaa zetu na sababu zingine BINAFSI

Sasa kiuhalisia nashangaa sana kusikia watu wanalalamika na kuuana kuhusu ardhi na Mali asili wakati Ulimwengu bado tupu kabisa.

Source.


Sasa ndio mimi na wewe tunajiuliza "Ina maana Mungu haoni yote hayo"..?

Kwanini aruhusu wachache wenye tamaa zao kuwashughulisha wengine wasiojiweza..?

Kwanini hutaki tumlaumu wakati yeye Ni muweza yote..?
 
Sasa ndio mimi na wewe tunajiuliza "Ina maana Mungu haoni yote hayo"..?

Kwanini aruhusu wachache wenye tamaa zao kuwashughulisha wengine wasiojiweza..?

Kwanini hutaki tumlaumu wakati yeye Ni muweza yote..?
Ndio nikasema hapo awali kuwa Mungu ametuumba na KUTUPATIA UHURU wa kuamua vipi tutaishi hapa Duniani.
Na kwa sisi wenye Imani na Mungu tunakubali bila shaka yyt kuwa LAZM kuwe na Hukumu mbele
Ili wale ambao waliutumia uhuru wao Vibaya WAADHIBIWE na wale walioishi kama mwanaadamu yyt anavyotakiwa kuishi Waweze KULIPWA MAZURI kwa Utu wao.

Wewe na mimi hatuhitaji Kuambiwa na Mungu kuwa KUBAKA,KUIBA,KUONE WANYONGE na Ubaya wwt havistahiki kumfanyia binaadamu mwingine.

Sasa Mungu angetuumba bila kutupa uhuru huu tulionao (yaani tuwe kama Robot) basi pia tungesema Mungu hakutenda haki.
Katunyima uhuru tunafanya Anayotaka yeye tu.

Binaadamu ni kiumbe mbaya sana km hatokwenda sambamba na Kanuni za kibinaadamu alizoumbwa nazo.

Sasa tusimlaumu MUUMBAJI kwa Makosa na matatizo tunayoleta wenyewe kwa tamaa zetu binafsi.

Lkn kumbuka IKO SIKU YA MALIPO INAKUJA.
manake kubali kataa lkn Binaadamu hayupo hapa Duniani kula kuzaa na kulala tu. Na mwisho kufa na hapo ndio mwisho wake.
Manake kwa kuamini hivyo ni kukubali kwamba binaadamu kawepo hapa Duniani kwa sababu za kipuuzi kabisa kitu ambacho sio.

Kama mbuzi ana SABABU NZURI tena MAALUM ya KUWEPO hapa Duniani basi Binaadamu ana Sababu kubwa tu tena ya maana zaidi ya KUWEPO Hapa. Na sio kula kuzaana, na mwisho kufa bila chochote baada ya hapo.
 
Ndio nikasema hapo awali kuwa Mungu ametuumba na KUTUPATIA UHURU wa kuamua vipi tutaishi hapa Duniani.
Na kwa sisi wenye Imani na Mungu tunakubali bila shaka yyt kuwa LAZM kuwe na Hukumu mbele
Ili wale ambao waliutumia uhuru wao Vibaya WAADHIBIWE na wale walioishi kama mwanaadamu yyt anavyotakiwa kuishi Waweze KULIPWA MAZURI kwa Utu wao.
Sasa haya ya kutumia uhuru wao vibaya ilitakiwa huyo Mungu ayashughulikie mapema kabla ya Mimi na wewe kutokea

Na sijafahamu mpaka sasa kipi kinachokufanya ujihisi huru wakati mpaka vifungashio sijui vibebeo tunaamuliwa na watawala wakati Mungu yupo..!?

Na kwanini unahisi ni lazima kuwepo na siku ya malipo..? Hivi nikisema mnatumia siku ya malipo kwa siku za mbeleni kama kichaka kwa kujua wote tunakufa hakuna atakayefika huko mbeleni_nitakuwa nafikiri vibaya kuwahusu
Wewe na mimi hatuhitaji Kuambiwa na Mungu kuwa KUBAKA,KUIBA,KUONE WANYONGE na Ubaya wwt havistahiki kumfanyia binaadamu mwingine.
Nadhani si wanadamu peke yao hata hayawani mwitu kama simba wanajua kutendeana kwa fadhili pia_nadhani ni asili
Sasa Mungu angetuumba bila kutupa uhuru huu tulionao (yaani tuwe kama Robot) basi pia tungesema Mungu hakutenda haki.
Katunyima uhuru tunafanya Anayotaka yeye tu.
haya ni maoni yako_hata sasa japo sihisi kuwa yametokezwa na Mungu lakini sioni uhuru wa aina yeyote ile mwenye pesa na mamlaka naona wapohuru kidogo japo asili haitawaacha salama watakufa
Binaadamu ni kiumbe mbaya sana km hatokwenda sambamba na Kanuni za kibinaadamu alizoumbwa nazo.
Kanuni zipi hizo unazohisi kaumbwa nazo..?
Sasa tusimlaumu MUUMBAJI kwa Makosa na matatizo tunayoleta wenyewe kwa tamaa zetu binafsi.
Yeye ni wakulaumiwa leo kesho hata na milele Kama ipo hawezi kuepuka hili kwakuwa yeye ni muweza wa yote
Lkn kumbuka IKO SIKU YA MALIPO INAKUJA.
manake kubali kataa lkn Binaadamu hayupo hapa Duniani kula kuzaa na kulala tu. Na mwisho kufa na hapo ndio mwisho wake.
Manake kwa kuamini hivyo ni kukubali kwamba binaadamu kawepo hapa Duniani kwa sababu za kipuuzi kabisa kitu ambacho sio.
Siku ya malipo sitaki kuikumbuka na sidhani kama ipo na hata Kama ipo kweli hainihusu na sioni sababu ya uwepo wa hiyo siku nao Kama nachezwa shere na wajanja
Kama mbuzi ana SABABU NZURI tena MAALUM ya KUWEPO hapa Duniani basi Binaadamu ana Sababu kubwa tu tena ya maana zaidi ya KUWEPO Hapa. Na sio kula kuzaana, na mwisho kufa bila chochote baada ya hapo.
Sababu au kisudi la mbuzi kuwepo sio la ajabu tumeliunda wenywe baada ya kumuinjika kwenye jungu tukanywa Supu_sasa usinifanye nijione wa thamani Sana bila sababu wakati Mimi pia ni kitoweo vilevile kwenye anga za hayawani
 
Kinachofanya huo uongo wa kuwepo Mungu udumu hadi leo ni nini? ni wazi inaonekana hadi leo kumekosekana ukweli wa kuweza kuondoa huu uongo na ndiyo maana hadi leo huo uongo bado upo kwa maana ukweli bado haujajulikana.
Who made you?
 
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Hivi kama shetani yupo na anafanya miujiza kinachokufanya usiamin uwepo wa Mungu ni kipi?
 
Siku zote hutoa angalizo kuwa kabla hujauliza swali FIKIRI KWANZA hicho unachotaka kuuliza!![emoji2959]
Not a SINGLE Scientist knows where is the Source of Gravity came from.!

Hakuna mwana Sayansi YOYOTE DUNIANI mwenye kujua CHANZO CHA SOURCE OF GRAVITY
Na kama yupo mtaje hapa na weka hio ripoti yake .
Daaaah.....mkuu...., umesoma vizuri kuhusu matter distortion? Gravity is just a distortion of spacetime...
 
Sasa ndio mimi na wewe tunajiuliza "Ina maana Mungu haoni yote hayo"..?

Kwanini aruhusu wachache wenye tamaa zao kuwashughulisha wengine wasiojiweza..?

Kwanini hutaki tumlaumu wakati yeye Ni muweza yote..?
A very important qn...Can God the creator of everything creat something of higher power than Him and still enjoy the creation....??

Uwepo wa shetani ni uongo mkubwa kwamba sayansi ipo chini ya shetani uku idadi kubwa ya watu ikitegemea majibu ya sayansi then tuseme Shetani ana nguvu kumzidi Mungu and still God watching. the bad mission goin on...

Imani ni kitu kibaya sana aise we must look bakwhat we believe ....mkuu habari za kuamkaaise.....
 
Sasa haya ya kutumia uhuru wao vibaya ilitakiwa huyo Mungu ayashughulikie mapema kabla ya Mimi na wewe kutokea

Na sijafahamu mpaka sasa kipi kinachokufanya ujihisi huru wakati mpaka vifungashio sijui vibebeo tunaamuliwa na watawala wakati Mungu yupo..!?

Na kwanini unahisi ni lazima kuwepo na siku ya malipo..? Hivi nikisema mnatumia siku ya malipo kwa siku za mbeleni kama kichaka kwa kujua wote tunakufa hakuna atakayefika huko mbeleni_nitakuwa nafikiri vibaya kuwahusu
Nadhani si wanadamu peke yao hata hayawani mwitu kama simba wanajua kutendeana kwa fadhili pia_nadhani ni asili
haya ni maoni yako_hata sasa japo sihisi kuwa yametokezwa na Mungu lakini sioni uhuru wa aina yeyote ile mwenye pesa na mamlaka naona wapohuru kidogo japo asili haitawaacha salama watakufa
Kanuni zipi hizo unazohisi kaumbwa nazo..?
Yeye ni wakulaumiwa leo kesho hata na milele Kama ipo hawezi kuepuka hili kwakuwa yeye ni muweza wa yote
Siku ya malipo sitaki kuikumbuka na sidhani kama ipo na hata Kama ipo kweli hainihusu na sioni sababu ya uwepo wa hiyo siku nao Kama nachezwa shere na wajanja
Sababu au kisudi la mbuzi kuwepo sio la ajabu tumeliunda wenywe baada ya kumuinjika kwenye jungu tukanywa Supu_sasa usinifanye nijione wa thamani Sana bila sababu wakati Mimi pia ni kitoweo vilevile kwenye anga za hayawani
Mtu aliyeamua kupinga KUWEPO kwa Mungu na akafunga fikra zake hata umueleze namna gani ATAPINGA TU.
Sasa mwenye busara siku zote hubaki kufanya kile chenye kumuweka salama hata kama hakijui au hakifahamu.
They say "BE SAFE THAN SORRY ".

Mimi nimejifunza kuwa MUNGU yupo na Ipo siku ya malipo.
Sasa nimeamua kufuata mafunzo hayo na naomba Mungu niendelee kufuata mafunzo hayo mpk siku ya mwisho wa uhai wangu ili
KAMA KWELI MUNGU YUPO then Naimani ntakuwa salama kwa Rehma zake MUNGU.

na Kama Mungu hakuna basi na Mimi Hakuna nitakachopoteza. As matter fact ninanchokifanya mimi ni kile kile ambacho BINAADAMU Muungwana anachotakiwa kukifanya wala sifanyi kitu ambacho ni kinyume na binaadamu mwingine muungwana.

Lkn NIKIPUUZA na KUPINGA kuwa Hakuna Mungu Kisha IKAJA KUTOKEA kuwa MUNGU yupo basi hasara na adhabu zote zitakuwa Juu yangu.
Sasa na wewe nakushauri hivyo hivyo.
Ukiabudu Mungu MMOJA TU na Baada ya kufa ikawa hakuna Mungu wala siku ya malipo Huna UTAKACHO POTEZA.
lkn ukiendelea na Kanuni hii basi siku ukija kugundua kuwa MUNGU YUPO na Siku ya malipo yapo majuto yako HAYATOKUSAIDIA KITU.
 
Ohh..kwann tunatumia bc kuwakilisha miaka
Kwani wao akina nani?
Kuhusu yesu kuishi kwake duniani sio swala imani,ni suala la ushahidi kama aliishi duniani
Tuna ushahidi kuwa aristotle,plato,alexander the barbarian waliishi duniani lakini hakuna ushahidi wa yesu wa nazareth kuishi duniani...it's a bad written fraud of all time
 
Wame fail wapi?...Hata fundamentals za Modern Physics unazifahamu wewe?

Na hio First cause kwanini iwe ni Mungu Tena Specific God with Human attributes?....Kwanini kisiwe kingine
Physics Ni sehemu ndogo Sana Kama utakuwa umesoma undani wake kabla na baada ya kutenganisha Physics,Chemistry na Biology. Lakini pia inategemeana na level yako. Mfano Kama ulisoma ili kuelewa upana wa physics kwa kujua mipaka yake, ama ulisoma ili kujibu mitihani ili hatimae upate cheti.
 
Ikowazi wanajua mungu hayupo ila wanajitoa ufahamu tu laiti mungu angekuwepo kusingekuwa na mabaya duniani
Ukiwauliza mmejuaje kama kuna mungu wanapepesa macho hawana majibu

Mungu gani huyo amekuwa kama sanamu hana anachokijua ktk ulimwengu
Mabaya unayapima kwa kipimo kipi?
 
Siku muulize mtoto wa miaka miine au mitano kuhusu Mungu..af leta mrejesho..
We mtoto unaelewa maana ya neno MUNGU?
Au Unaropoka tu.
Yaani wewe ghafla umeshakuwa mungu!
Teh teh teh teh.

Mnakatazwa kupiga Viroba lkn ubishi tu.
Matokeo yake ndio haya.
 
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Kama ilivyovigumu kwa computer yako kukufikiri na kujua mawazo yako,ndivyo ilivyokwako kumfikiri Mungu na kujua Mawazo yake. Kama ulizaliwa mwaka mfano : 1990 June,huwezikujua yaliyokuwepo kabla yake hata ukifikirije Bali aliyekuwepo kabla ndiye awezaye kukuhabalisha.
 
Mtu aliyeamua kupinga KUWEPO kwa Mungu na akafunga fikra zake hata umueleze namna gani ATAPINGA TU.
Sasa mwenye busara siku zote hubaki kufanya kile chenye kumuweka salama hata kama hakijui au hakifahamu.
They say "BE SAFE THAN SORRY ".

Mimi nimejifunza kuwa MUNGU yupo na Ipo siku ya malipo.
Sasa nimeamua kufuata mafunzo hayo na naomba Mungu niendelee kufuata mafunzo hayo mpk siku ya mwisho wa uhai wangu ili
KAMA KWELI MUNGU YUPO then Naimani ntakuwa salama kwa Rehma zake MUNGU.

na Kama Mungu hakuna basi na Mimi Hakuna nitakachopoteza. As matter fact ninanchokifanya mimi ni kile kile ambacho BINAADAMU Muungwana anachotakiwa kukifanya wala sifanyi kitu ambacho ni kinyume na binaadamu mwingine muungwana.

Lkn NIKIPUUZA na KUPINGA kuwa Hakuna Mungu Kisha IKAJA KUTOKEA kuwa MUNGU yupo basi hasara na adhabu zote zitakuwa Juu yangu.
Sasa na wewe nakushauri hivyo hivyo.
Ukiabudu Mungu MMOJA TU na Baada ya kufa ikawa hakuna Mungu wala siku ya malipo Huna UTAKACHO POTEZA.
lkn ukiendelea na Kanuni hii basi siku ukija kugundua kuwa MUNGU YUPO na Siku ya malipo yapo majuto yako HAYATOKUSAIDIA KITU.
Hilo la kukutana na Mungu kama kweli yupo_ ndugu ondoa Shaka wala sina hofu nalo

Nitamuuliza tu "ilikuwaje aniumbe njiwa halafu anikataze kula mtama" basi hilo tu_ akinijibu roho nitakabidhi kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom