God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

Unajua tatizo ni pale mtu anapofikiri kutokuamini kwake Mungu ndio kunafanya asiwepo huyo Mungu na ndiyo maana ukimwambia athibitishwe kuwa kweli hakuna uwepo wa huyo Mungu atakwambia kisichokuwepo(asichoamini yeye) hakithibitishiki. Hawatofautishi kati ya kutokuamini kwao na kutokuwepo kweli hicho wasichoamini na ndiyo maana ikawezekana anayepinga Mungu kuja kukubali au kusema Mungu yupo na kuacha msimamo wa kuwa hayupo,maana hivi hivi tu isingewezekana mtu ambaye anajua kabisa kitu fulani hakipo na ana uhakika huo kuja kubadili tena na kusema hicho kitu kipo.
 
Atheists huwa nawafananisha na watoto mapacha walio tumboni wanavyojadiliana kuhusu uwepo wa mama yao. Wanasema mama hayupo.

God is everywhere.
 
Kukwepa maswali yanayo onyesha udhaifu wa hoja zako ni kawaida yako.
Jibu swali we kiranga.
Umeulizwa unaamini Wanga wapo?
Unafahamu wazi kabisa kuwa wanga ni jamii ya WACHAWI sasa acha utoto .

Na mimi nakuongezea .

Kifo ni nini? Au Roho ni nini.
Na kwanini LAZIMA viumbe WAFE ?
Na ukiambiwa mtu KAFA kifo cha kawaida(Natural Death) nini hasa kilichokufa hapo?
Jibu maswali km wewe ni Atheist anaejitambua.

Asante.

Analeta janja janja ya kukwepa swali kwa kuuliza viswali swali [emoji16][emoji16]
 
Utakuwa unatatizo, la sivyo umezaliwa Masaki ukakulia Masaki, na hujawahi toka hapo.
Tembea uone dunia.
Kama uchawi unaweza kutumika kukuthibitishia kuwa Mungu yupo, tembea mikoani uone.
. Tofautisha kati ya kuthibitisha na kuaminisha.
 
Mungu hujidhihirisha kwa kila mtu kwa namna ya pekee... muda wa Yeye kujidhihirisha kwako bado...

What you think you, it's just a drop of water from ocean...
You know nothing...
 
Atheists huwa nawafananisha na watoto mapacha walio tumboni wanavyojadiliana kuhusu uwepo wa mama yao. Wanasema mama hayupo.

God is everywhere.
Kama mama ni muhimu hivyo, na Mungu naye mama yake nani?
 
Kukwepa maswali yanayo onyesha udhaifu wa hoja zako ni kawaida yako.
Jibu swali we kiranga.
Umeulizwa unaamini Wanga wapo?
Unafahamu wazi kabisa kuwa wanga ni jamii ya WACHAWI sasa acha utoto .
Na mimi nakuongezea .
Kifo ni nini? Au Roho ni nini.
Na kwanini LAZIMA viumbe WAFE ?
Na ukiambiwa mtu KAFA kifo cha kawaida(Natural Death) nini hasa kilichokufa hapo?
Jibu maswali km wewe ni Atheist anaejitambua.



Kiranga mtalaamu
 
Shetani hajikwezi kipuzii..
Nae pia haexist zaidi ya imagination ndani ya vichwa vya binadamu vilivyojazwa ujinga na woga hasa na huyo mungu wenu
Hoja ya uoga haina uhalisia ni sawa na hoja kwamba et dini ndiyo zinafanya watu waogope kifo wakati hadi atheists huogopa kifo.
 
Hoja ya uoga haina uhalisia ni sawa na hoja kwamba et dini ndiyo zinafanya watu waogope kifo wakati hadi atheists huogopa kifo.

Haya madini yenu yote yakuja yote yanatumia propaganda za Uwepo wa kitu kisichoExist na binadamu wachache wanatumia kuwatisha wajingajinga kama nyinyi na Upumbavu wa uwepo wa mungu
 
Haya madini yenu yote yakuja yote yanatumia propaganda za Uwepo wa kitu kisichoExist na binadamu wachache wanatumia kuwatisha wajingajinga kama nyinyi na Upumbavu wa uwepo wa mungu
Hayo ya kutishwa unayaongea wewe ni vitu ambavyo havina uhalisia huwezi kumfanya mtu aamini jambo kwa vitisho,watu wanakubali uwepo wa Mungu kwa sababu zenye mantki na sio et kwa sababu ya vitisho.
 
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
Pole sana
 
Wame fail wapi?...Hata fundamentals za Modern Physics unazifahamu wewe?

Na hio First cause kwanini iwe ni Mungu Tena Specific God with Human attributes?....Kwanini kisiwe kingine
Ndio utuambie wewe sasa kwanini kiwe kingine ?

Hivi chanzo cha maisha na ulimwengu huu ni nini ?
 
Mleta mada yuko sawa ''Neno'' siyo mali ya kila mtu, kama usivomjua baba yangu, km ni kweli we u mtu basi huna influence ktk Dunia ya wachawi, majini na mashetani, unajipitiaga tu.

Si ajabu wewe ni mwenyeji wa kuzimu, kwa kujua au kutokujua! unatafuta wa kuwapeleka ili upande cheo! humu kuna viumbe si watu tunawajua avatar zao! kuna siku nitatoa somo kuhusu Avatr za kuzimu! na kuna wengi pia humu JF walisha ishi kuzimu, na kuokoka!

Wenye talent za kuibadili Dunia ndiyo wanashambuliwa na hao watu wa shetani, hapo sasa kama ikitokea, yakisha kupata ya kukupata lazima umtafute Mungu na kutubu
 
Mleta mada yuko sawa ''Neno'' siyo mali ya kila mtu, kama usivomjua baba yangu, km ni kweli we u mtu basi huna influence ktk Dunia ya wachawi, majini na mashetani, unajipitiaga tu.

Si ajabu wewe ni mwenyeji wa kuzimu, kwa kujua au kutokujua! unatafuta wa kuwapeleka ili upande cheo! humu kuna viumbe si watu tunawajua avatar zao! kuna siku nitatoa somo kuhusu Avatr za kuzimu! na kuna wengi pia humu JF walisha ishi kuzimu, na kuokoka!

Wenye talent za kuibadili Dunia ndiyo wanashambuliwa na hao watu wa shetani, hapo sasa kama ikitokea, yakisha kupata ya kukupata lazima umtafute Mungu na kutubu

NONSENSE
 
Mleta mada yuko sawa ''Neno'' siyo mali ya kila mtu, kama usivomjua baba yangu, km ni kweli we u mtu basi huna influence ktk Dunia ya wachawi, majini na mashetani, unajipitiaga tu.

Si ajabu wewe ni mwenyeji wa kuzimu, kwa kujua au kutokujua! unatafuta wa kuwapeleka ili upande cheo! humu kuna viumbe si watu tunawajua avatar zao! kuna siku nitatoa somo kuhusu Avatr za kuzimu! na kuna wengi pia humu JF walisha ishi kuzimu, na kuokoka!

Wenye talent za kuibadili Dunia ndiyo wanashambuliwa na hao watu wa shetani, hapo sasa kama ikitokea, yakisha kupata ya kukupata lazima umtafute Mungu na kutubu
Yamekua ayo

SUBIRI KIDOGO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom