Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,284
- 105,512
Kwani uongo ukidumu na kuaminika kwa kuwa ukweli wa kuuondoa uongo huo haujajulikana, huo uongo unaacha kuwa uongo kwa sababu ukweli haujajulikana?Kinachofanya huo uongo wa kuwepo Mungu udumu hadi leo ni nini? ni wazi inaonekana hadi leo kumekosekana ukweli wa kuweza kuondoa huu uongo na ndiyo maana hadi leo huo uongo bado upo kwa maana ukweli bado haujajulikana.