God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

NONSENSE!!...sijui una miaka mingapi...lakini acha kuandika mashudu
Miaka haisadii kitu njoo kiupya km mwenzako! au ulijaribu tu kidhungu hukijui wee mama? ndiyo tatizo la wana Jf vihiyo kujifanyafanya ki malikia!
 
Miaka haisadii kitu njoo kiupya km mwenzako! au ulijaribu tu kidhungu hukijui wee mama? ndiyo tatizo la wana Jf vihiyo kujifanyafanya ki malikia!

na wewe umetokea wapi??? andika pumba kwa kingereza na wewe kama unataka,ila tutakukumbusha umeandika pumba hata kama ukiandika kwa kisambaa..
 
Miaka haisadii kitu njoo kiupya km mwenzako! au ulijaribu tu kidhungu hukijui wee mama? ndiyo tatizo la wana Jf vihiyo kujifanyafanya ki malikia!
Mkuu Baeleze! baelezee ana kamsamiati hako hako!!! tu, hana jipya! kulia kushoto ni kale kale tu! some people wanajaribu vitu ambavyo hawawezi! anadhani wote humu ni ma mbululaa!
 
Mada kama hizi zinapendeza zaidi ukiziwaza ukiwa kwenye dakika zako za mwisho za uhai au upo mahututi ila una ufahamu.

Ukiwa mzima wa afya umeshiba ndiii unaweza fikiri wewe ndiye mungu ila umesahau tu.
 
Mkuu Baeleze! baelezee ana kamsamiati hako hako!!! tu, hana jipya! kulia kushoto ni kale kale tu! some people wanajaribu vitu ambavyo hawawezi! anadhani wote humu ni ma mbululaa!

wewe ni mbulula,angalia tena post niliyoku quote kwanza hivi mtu mzima mwenye akili timamu anaweza kuandika mashudu kama yale?? jisome kama hujielewi tutakusaidia ujielewe..mxiuuuuu
 
na wewe umetokea wapi??? andika pumba kwa kingereza na wewe kama unataka,ila tutakukumbusha umeandika pumba hata kama ukiandika kwa kisambaa..
aaaaah! mkuu jazba punguza haitakusaidia kujua usilolijua, jibu hoja ya msingi! tukuone ulivo mkali
 
aaaaah! mkuu jazba punguza haitakusaidia kujua usilolijua, jibu hoja ya msingi! tukuone ulivo mkali

hahaha watu ambao hawana kitu kichwani ndio hung'ang'ania vitu kama hivyo,babu wewe kama ni kiingereza nenda kariakoo pale kuna wahudumu wa bar wanakiongea...sio wewe kuandika mashudu yes nimerudia mashudu sababu hakuna neon mbadala kwa uliyoyaandika..narudia usitujazie saver!
 
wewe ni mbulula,angalia tena post niliyoku quote kwanza hivi mtu mzima mwenye akili timamu anaweza kuandika mashudu kama yale?? jisome kama hujielewi tutakusaidia ujielewe..mxiuuuuu
Ukija kwa stress humu JF utapata taabu sana! km ukiwa mtu! ngoja nifanye yangu ntakujua tu wewe kama wewe ni mtu au wa kuzimu!
Mara nyingi watu halisi hawana usumbufu, mapepo ya kuzimu yanajifanyaga yana hasira ili kuvuta hisia za watu, hasa km uliwatoroka ukiwaumbua tu...hee
 
hahaha watu ambao hawana kitu kichwani ndio hung'ang'ania vitu kama hivyo,babu wewe kama ni kiingereza nenda kariakoo pale kuna wahudumu wa bar wanakiongea...sio wewe kuandika mashudu yes nimerudia mashudu sababu hakuna neon mbadala kwa uliyoyaandika..narudia usitujazie saver!
Mbona wale warembo sana tena wako smart ni usipime, kumbe ulikuwa hujui kuongea?
 
Ukija kwa stress humu JF utapata taabu sana! km ukiwa mtu! ngoja nifanye yangu ntakujua tu wewe kama wewe ni mtu au wa kuzimu!
Mara nyingi watu halisi hawana usumbufu, mapepo ya kuzimu yanajifanyaga yana hasira ili kuvuta hisia za watu, hasa km uliwatoroka ukiwaumbua tu...hee

nivute hisia za watu ili iweje wewe??? naona unafanya muendelezo wa kuandika mashudu!..again, usitujazie saver!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom