ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,860
- 3,810
Mapenzi hayana makombo ni sawa siti ya basi. Tena usihofu wala sitamfanyia vurugu niliyemkuta. Angarizo mahaba nitakayokupa yatakufanya umsahau niliyemkuta.Unapenda kushare?
Mapenzi hayana makombo ni sawa siti ya basi. Tena usihofu wala sitamfanyia vurugu niliyemkuta. Angarizo mahaba nitakayokupa yatakufanya umsahau niliyemkuta.Unapenda kushare?
***nilikucorrect tuuPlease complete your statiment to heal my heart.
Sweetheart nani anakutisha ?MSITUTISHE..
Mnataka tupingane na wakati?
On my mind up past my bedtime, no rest at the kingdom
***nilikucorrect tuu
Ujue tunabadili lengo la thread mkuu.On my mind up past my bedtime, no rest at the kingdom
Alone in my place, my heart is away
All that I can think of is, we should get married. So let's stop holding back on this and let's get carried away
Mada imegeuzwa namba ya simu.Zama hizi sio za kuonana na mizimu yenye namba za simu.
Watu wanatekwa na wasiojulikana
Watu wanatekwa ndugu zao watoe hela
Watu wanabakwa
Watu wanatekwa wanapigwa picha za uchi
Halafu atokee mtu anashindwa kujielezea nianze kumsikiliza nionane nae?
Povu. Huyu povu. Huyu inamhusu 100% . Relax bidada....maisha umeyakosea mwenyewe unamnunia nani?Kuolewa sio kuamua.
Ingekua ni kuamua tu si tungeshaamua tuolewe?
Nyie mnataka kila mwanamke akae kwenye ndoa ili awafurahishie nyie wanaume aonekane na yeye ni bora.
Ndoa sio kwa ajili ya nyie muone fulani ana ndoa kumbe hana furaha.
Nyie endeleeni kuoa na sisi tukipata tunaowapenda tutaolewa nao.
Miaka 30 sio mwisho wa maisha wala kutongozwa.
Nakupa ushuhuda. Kuna mwanamke tuliokuwa tunaachana na kurudiana several times. Kuna tym nilimwambia nataka nimuoe akaniletea nikampiga chini mazima. By then she wa only 23. Akajifanya ana mbwembwe ooh sina shida ya kuolewa...uniache na maisha yangu. Na maneno ya shombo. Nikamwacha kiroho safi.Hawa wadada wenye 30 plus, wengine ni ndugu zetu na wengine ni watarajiwa wetu, huwa wana stress ni hakuna. Hapa watajifanya wapo bold, ila kiukweli wanaungulia ndani kwa ndani.
Hata sisi wanaume huwa tunapata tabu sana kutongoza manzi wa age hiyo kama ana mtu wake tayari na jamaa anaeleweka eleweka. Hata kama demu zamani alikuwaga ganda la ndizi.
Nishakutana nao kama watatu wana plan za kuzaa tu, maana washakata tamaa.
Kiukweli huo sio umri mzuri kwa mwanamke ambaye hana jamaa anayeeleweka.
Mods hawajarekebisha heading nyie na mna akili sana? ......mada inasema stupid questions like namba yangu umepata wapi? And u stick with number as it was said hilo tu ndio linafanya old cargos msiolewe.Watu tunaangalia content maana kuna watu wanaandikaga threads ambazo heading haziendanagi na content
Atleast unaomba ushauri. Kuna wenzio wanapinga bila hoja. Okay, jamaa asiyeeleweka yukoje?Kwahiyo mnatushauri nini? Maana kuna wengine tuko above 30 na hatuna majamaa ya kueleweka.
Nyie kama zetu mnatushauri tufanyeje ili tuolewe tupunguze hizi stress na frustrations mnazotuona nazo?
Kusema kusikiliza mwanaume ilimradi mwanaume tumeshakataa semeni kingine
PoahTukutane pale pa siku zote, twende zetu tupajipumuzishe bibie maeneo tulivu ya kurelax
Wewe wasemaSiyo kweri sema wapo wanawake wanaonunu Wanaume wanapowahitaji.
Mapenzi hayana makombo ni sawa siti ya basi. Tena usihofu wala sitamfanyia vurugu niliyemkuta. Angarizo mahaba nitakayokupa yatakufanya umsahau niliyemkuta.
OkayMods hawajarekebisha heading nyie na mna akili sana? ......mada inasema stupid questions like namba yangu umepata wapi? And u stick with number as it was said hilo tu ndio linafanya old cargos msiolewe.
Take your fellows back and claim your fees from respective schools you went.
You girl. You intercept every comment. I can bet you are not in good terms with your so called "husband".
Please do! Nasubiria kwa kweli, this is the smartest way of communicating. It is only for intelligent like yourself.Labda nikupe email