ahahaa!!! unasema tu hivyo maana age bado inaruhusu kutamka haya uyasemayo!
usiombe yakukute wewe!
huwa inafika mahali yaani hata ujipake make up kilo 6, lakini hakuna hata wa kukwambia “dadaa umependeza kweli leo”..... “dada samahani naomba blah blah” .. “dada nisubiri niku...”!! kila dume unayekutana nae anakuangalia mara moja tu kisha anaegeukia kushoto anaendelea na 50 hamsini.
Hali kama hii ikikuta kwa muda wa miezi 6 siku ukipigiwa na namba ngeni hauwezi ukajibu kwa nyodo hata kidogo. tena nikikata simu wewe ndio unanipugia
