Girls born in 1990

Girls born in 1990

Utasikia ooh ulinipa mbagala wakati mbagala hujawahi fika.
Mwanaume anaepiga simu unamuuliza namba umetoa wapi anajielezea mbona anasikilizwa?
Yapo yale mabolizozo anakwambia nimepewa tu na mtu nataka tuonane tuongee vizuri.
Zama hizi za kutekana uanze kumsikiliza mwanaume asieweza kujielezea inawezekana kweli?
Ukianza kukata viunoo tu nakata simu na sikupokelei mpaka ujue uanaume wako kwa kujiamini uelezee namba umetoa wapi
Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
 
Nani mimi au? Uchungu utoke wapi wakati mimi nina ndoa my dear? Nawaonea tu huruma hawa wanawake wanaokubali to dance to your tunes na kuamini kila maneno mnayowaambia wafalme wa dunia hii! Hehehehe I can imagine them not living their best life just because they want to be called wife materials!
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
 
Humu wanawake wote ni smart,wameolewa na wanaume wa maana na hata ambao hawajaolewa wana waume watarajiwa smart na wenye pesa. Wacha tukashike masikio waliokata tamaa kitaa
Kawashikeni salama
 
Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
Zama hizi sio za kuonana na mizimu yenye namba za simu.
Watu wanatekwa na wasiojulikana
Watu wanatekwa ndugu zao watoe hela
Watu wanabakwa
Watu wanatekwa wanapigwa picha za uchi
Halafu atokee mtu anashindwa kujielezea nianze kumsikiliza nionane nae?
 
Kuna siku nilipokea simu ya manzi mmoja ana sauti tamu mithili ya kinanda, alikuwa anamuulizia Arnold. Nikamweleza kistaarabu mimi siitwi Arnold, baadae nikaanza mapambano ya kutengeneza ukaribu bila mafanikio. Hakupokea simu zangu, wala hakujibu meseji zangu.

# wewe binti popote upo, ulinijeruhi hisia zangu japo kwa dkk tano.
 
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
Kuolewa sio kuamua.
Ingekua ni kuamua tu si tungeshaamua tuolewe?
Nyie mnataka kila mwanamke akae kwenye ndoa ili awafurahishie nyie wanaume aonekane na yeye ni bora.
Ndoa sio kwa ajili ya nyie muone fulani ana ndoa kumbe hana furaha.
Nyie endeleeni kuoa na sisi tukipata tunaowapenda tutaolewa nao.
Miaka 30 sio mwisho wa maisha wala kutongozwa.
 
Hawa wadada wenye 30 plus, wengine ni ndugu zetu na wengine ni watarajiwa wetu, huwa wana stress ni hakuna. Hapa watajifanya wapo bold, ila kiukweli wanaungulia ndani kwa ndani.

Hata sisi wanaume huwa tunapata tabu sana kutongoza manzi wa age hiyo kama ana mtu wake tayari na jamaa anaeleweka eleweka. Hata kama demu zamani alikuwaga ganda la ndizi.

Nishakutana nao kama watatu wana plan za kuzaa tu, maana washakata tamaa.

Kiukweli huo sio umri mzuri kwa mwanamke ambaye hana jamaa anayeeleweka.
 
Kama unajiona umezubaa zubaa huna mbinu, kuwa tu mkweli. Ila kama mwanaume umefanya research yako na hutaki kukutana na hili swali. Basi unaeza ukaweka appointment katika kitu anachofanya bidada, kama mfanyabiashara, mwambie tu unataka kununua hiyo bidhaa hata kama hutaki.

Kama yuko kwenye professional fkani tengeneza tatizo linaloweza tatuliwa na hiyo kazi yake. Tengeneza mazoea nae kwa vyovyote vile.

Ila sio kama mnavyotaka nyie. Slope!

Mwanaume aliyezubaa zubaa ndio yukoje?

pia kwanini nipite kwenye mlolongo wote huo na wakati lengo langu linafahamika kabisa ni nini?
 
Na bado nini sasa? Achaneni nao wanaozeeka oeni wanaopevuka kwani kuna mtu alishawahi kupigwa au kufungwa kwa kufanya hivyo? Mbona makelele mengi sana? Au na ninyi wanaume kinawauma hao wanawake wasipoolewa?
Ukiona mali inaozea nyumban lazima ikuume
 
Yaani wanawake wengi wanafanya vitu kuwaridhisha wanaume kuliko hata kumridhisha Mungu sasa imagine mtu anakubali hadi kutoa tigo ili tu amfurahishe mwanaume amuoe wakati akijua kabisa kuwa anamchukiza Mungu
Just imagine not living your best life to be someone's wife. And it doesn't happen. Kwasababu muoaji hana masharti mengi kama mganga wa kienyeji.
 
Nani mimi au? Uchungu utoke wapi wakati mimi nina ndoa my dear? Nawaonea tu huruma hawa wanawake wanaokubali to dance to your tunes na kuamini kila maneno mnayowaambia wafalme wa dunia hii! Hehehehe I can imagine them not living their best life just because they want to be called wife materials!

winks** judging from most of your comments here i doubt if you are in happy marriage! that’s marriage of yours must be hell on earth.. sio kwa comments zinazo asharia frustration na uchungu wa hali ya juu.
 
Kabisa yaani sijui kwanini kuna wanawake wanakubali kudanganyika hivyo daah
Na hao wanawake hawapo humu. Wakawashike masikio dada zao waliokata tamaa kisa ndoa ndio watasikiliza simu hata zinazopigwa na vichaa ili wasifukuze they Mr. Rights.
Kwa sisi hata tugonge 40 tutauliza tu namba zilipotoka na hatuwezi ishi kuwafurahisha ili tuitwe wife material
 
Jina la thread inabidi liwe NAMBA YANGU UMETOA WAPI maanake ndio kinachojadiliwa.
Watu tunaangalia content maana kuna watu wanaandikaga threads ambazo heading haziendanagi na content
 
Hawa wadada wenye 30 plus, wengine ni ndugu zetu na wengine ni watarajiwa wetu, huwa wana stress ni hakuna. Hapa watajifanya wapo bold, ila kiukweli wanaungulia ndani kwa ndani.

Hata sisi wanaume huwa tunapata tabu sana kutongoza manzi wa age hiyo kama ana mtu wake tayari na jamaa anaeleweka eleweka. Hata kama demu zamani alikuwaga ganda la ndizi.

Nishakutana nao kama watatu wana plan za kuzaa tu, maana washakata tamaa.

Kiukweli huo sio umri mzuri kwa mwanamke ambaye hana jamaa anayeeleweka.
Kwahiyo mnatushauri nini? Maana kuna wengine tuko above 30 na hatuna majamaa ya kueleweka.
Nyie kama zetu mnatushauri tufanyeje ili tuolewe tupunguze hizi stress na frustrations mnazotuona nazo?
Kusema kusikiliza mwanaume ilimradi mwanaume tumeshakataa semeni kingine
 
Mnapenda kuwashika masikio wanawake?
Humu wanawake wote ni smart,wameolewa na wanaume wa maana na hata ambao hawajaolewa wana waume watarajiwa smart na wenye pesa. Wacha tukashike masikio waliokata tamaa kitaa
 
Kuhakikisha usalama wangu, tena bora nijue tu kuwa kuna mtu wangu wa karibu kakupa ndiyo nitaweza hata kuongea na wewe ila ukianza kujikanyaga lazima nipate hofu mimi najuaje una nia gani na mimi?
Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
 
Kama ambavyo wanaume wengi humu huwa mnapiga na kusepa au mnazalisha na kuacha hehe ila mie nilishasema hata wanawake wote JF waseme kuwa wana waume na watoto mimi hainihusu ili mradi ukweli wangu uko pale pale kuwa mimi nina mume na watoto basi sijui wengine wanaodanganya ili kuwafurahisha watu humu
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom