ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Mwimbaji alisahau kutaja jina la madume ambaya hayajaoa. But man huoa anapohitaji na siyo hivyo kwa mwanamke nazani ndiyo maana wana special name yao.[emoji848][emoji848]
Oohh kwahiyo ni kama wanawake ambao hawajaolewa? Vipi na wanaume ambao hajawaoa wanaitwaje?