ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,860
- 3,810
Mwimbaji alisahau kutaja jina la madume ambaya hayajaoa. But man huoa anapohitaji na siyo hivyo kwa mwanamke nazani ndiyo maana wana special name yao.
Oohh kwahiyo ni kama wanawake ambao hawajaolewa? Vipi na wanaume ambao hajawaoa wanaitwaje?