Girls born in 1990

Girls born in 1990

Kama ndio hivyo basi kumjua aliyetoa namba si jambo la msingi bali ni wasi wasi tu wa kibinadamu ndio maana nilikuuliza hivi je ukitajiwa mtu ambae baada ya kutajiwa ukwa humjui utachukua hatua gani ?
Mbona ameshasema kuwa mazungumzo ndiyo yataishia hapo? Hivi kila mwanaume akisema kuwa safari moja huanzisha nyingine tutaanzisha safari na wanaume wangapi? Na hapo ukizingatia kila mwanaume anataka uwe wa peke yake! Aise!
 
Manungayembe ndiyo manini?
Kunawimbo katika miaka ya 2000 ulikuwa unasema "wanawake wazuru wazuri wameshaolewa, yamebaki manungayembe yanahangaika" kwa kweri maana kamili ya neno manungayembe sifahamu, just quates from that song.
 
Mbona ameshasema kuwa mazungumzo ndiyo yataishia hapo?
Hil sijaliona embu nionyeshe hilo amelisema wapi nikasome tena.
Hivi kila mwanaume akisema kuwa safari moja huanzisha nyingine tutaanzisha safari na wanaume wangapi?
Safari ina nyingi shida na sio lazima ufike unako kusudia.

Tatizo ulinzi wenu ni dhaifu sana na umekuwa dhaifu kwa kujitakia wenyewe.


Na hapo ukizingatia kila mwanaume anataka uwe wa peke yake! Aise!
Hilo ndio umbile letu,yaani uwe wangu wangu peke yangu haswaa.

Vipi kwani inawezekana tukawa wengi au unapenda tuwe wengi ?
 
Safi,nimesema umeumbwa mwanamke sababu ndio stahiki yako na pili mnapenda sana kutumia hisia kuliko akili.
Kwahiyo Mungu alikosea kutuumba tuwe tunatumia hisia? Maana huwa mnatulaumu sana sisi kutumia hisia!
 
Kunawimbo katika miaka ya 2000 ulikuwa unasema "wanawake wazuru wazuri wameshaolewa, yamebaki manungayembe yanahangaika" kwa kweri maana kamili ya neno manungayembe sifahamu, just quates from that song.
Oohh kwahiyo ni kama wanawake ambao hawajaolewa? Vipi na wanaume ambao hajawaoa wanaitwaje?
 
Kwahiyo Mungu alikosea kutuumba tuwe tunatumia hisia?

Mola wetu hakosei wala hakuwahi kukosea na ametakasika na sifa kukosea.

Ulitakiwa kwanza kuelewa nilicho kiandika,naposema "......mnapenda...." ujue hayo ni mapenzi yako mwenyewe kwani ingekuwa hivyo basi asingewapa akili.
Maana huwa mnatulaumu sana sisi kutumia hisia!

Hili ndio mnalipenda na huu ni uzembe wenu wenyewe.
 
Hakuna mkate mgumu kwenye chai mrembo
Watanzania tuna ugonjwa wa kujumuisha. Sikushangai!

Mwanamke akiwa na misimamo, mwanaume anashindwa kwenda beyond and above misimamo ya mwanamke. Mnajumusiha ana stress yule, umri ushaenda and blaah blaah. Mwanamke strong needs strong or strongest man, mwanaume legelege ndio hivo tutabaki kusoma uzi zenu.

Wanaume wakitanzania ni waoga sana, hawawezi kudeal na mwanamke anaejielewa. Watabaki kutafuta mwanamke wanaeza kumburuza kama gari bovu. A woman who can't reason neither question anything a man does.
 
Hil sijaliona embu nionyeshe hilo amelisema wapi nikasome tena.

Safari ina nyingi shida na sio lazima ufike unako kusudia.

Tatizo ulinzi wenu ni dhaifu sana na umekuwa dhaifu kwa kujitakia wenyewe.



Hilo ndio umbile letu,yaani uwe wangu wangu peke yangu haswaa.

Vipi kwani inawezekana tukawa wengi au unapenda tuwe wengi ?
Sasa si ndiyo kila mwanaume anataka tuanzishe naye safari na wanaume mnataka mkianzisha safari ni lazima lile tendo lifanyike kuna uzi mmoja humu unasema kipaumbele cha wanaume wote duniani kwa wanawake ni (ashakum si matusi) "uchi"

Wakishapata hicho ndiyo wataanza kuangalia vingine kama tabia sasa hapo kuna kupona kweli? Yaani wanaume bwana mnawapa wakati mgumu wanawake halafu mnawalazimisha wapambane na huo wakati mgumu mnaowapa!
 
Mola wetu hakosei wala hakuwahi kukosea na ametakasika na sifa kukosea.

Ulitakiwa kwanza kuelewa nilicho kiandika,naposema "......mnapenda...." ujue hayo ni mapenzi yako mwenyewe kwani ingekuwa hivyo basi asingewapa akili.


Hili ndio mnalipenda na huu ni uzembe wenu wenyewe.
Tunapenda? Kwahiyo ninyi mnaotumia akili Mungu hakuwapa hisia?
 
Falling in love is sothing naturally, so dont use your current relationship to protect the enjoyment of starting new one and good enough love is not renewable for the same man and woman but one of them with another one. I here to take you back (renew) the feeling of loved again.
Thanks but I'm taken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom